Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,105
- 13,331
Ebu muweke hapa tumuoneMakongoro huyo atakuwa kapata cha wapi? Maana yeye huwa pombe ndio zake................ thou ana mke mzuri sana (Aisha) na ni Jaji...
Ebu muweke hapa tumuoneMakongoro huyo atakuwa kapata cha wapi? Maana yeye huwa pombe ndio zake................ thou ana mke mzuri sana (Aisha) na ni Jaji...
Hahahahaha! Kaka huyu anajua kujipendekeza
Mchonga kilikuwa kifupi cha mchonga meno. Kisa cha kuitwa mchonga meno ni sababu meno yake yalikuwa kama kweli yamechongwa!Umeenda mbali yeye tulimwita mchonga basi.
Weka hapa bhana miss madeko hadi ubembelezweWa nini sasa google utampata Aisha Nyerere
Najua ila ilizoeleka kumwita mchonga na mzee wa kifimbo cheza maana hakukiacha alipoenda. Mzee wa zi zu mao maana alivaa nguo za mao tze tung za kichina.Mchonga kilikuwa kifupi cha mchonga meno. Kisa cha kuitwa mchonga meno ni sababu meno yake yalikuwa kama kweli yamechongwa!
Na akimpa? Nitakukumbusha kwa hii comment yako,recall mrema alivomsifia na baadae akapewa parole
JMKKwahiyo Jakaya Kikwete atutafutie kifupi chake
We mbona kigeugeu mara hampi mara atampa,kuwa na msimamoKama kumpa atampa tu ili amtumie 2020 maana ni mzuri kwenye public speaking kwa hotuba zake za kufikisha ujumbe kwa vibwagizo
Wakati anampiga kampeni alimuahidi ubunge na Uwaziri baada ya kushinda akaanza kukata kona
JPM hataki mtu mwenye guts za kumbishia na mako ni aina ya watu hawaogopi kumuambia mtu yeyote kitu
Mtoto wa Mwl Nyerere Anataka JK iwe Kifupi cha Julius Kambarage Na Sio JK wengine!Anahutubia Sasa Kwenye Sherehe za Kuzindua Jengo La PSPF Dodoma Hivi Sasa!
Mimi humfikiria John KennedyNiwe mkweli mimi kila nikutapo JK mawazo yangu hunipeleka kwa Jakaya Kikwete, labda huyo mpiga kitwanga aseme JKN.