GE2025 Makonda: Wasiokutakia mema waliumia kuona hakuna aliyepoteza maisha kwenya ajali ya SGR

GE2025 Makonda: Wasiokutakia mema waliumia kuona hakuna aliyepoteza maisha kwenya ajali ya SGR

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Paul Christian Makonda amepongeza mapinduzi makubwa yaliyofanywa na mgombea urais kupitia chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ujenzi wa miundombinu na uendeshaji wa treni na reli ya mwendokasi (SGR).

Aidha Makonda amegusia ajali ya treni hiyo iliyotokea mnamo Oktoba 23, 2025 akisema kuwa wasioitakia mema nchi waliumia kuona hakuna kifo kilichotokana na ajali hiyo na huduma kurejeshwa ndani ya saa mbili pekee.

Ameyasema hayo leo Oktoba 28, 2025 kwenye mkutano wa kufunga kampeni za mgombea urais wa CCM, unaofanyika katika viwanja vya CCM Kirumba, Jijini Mwanza.

 
Makonda BASHITE zwazwa mfitini wa kiwango Cha juu kumzidi Shetani .


Sisi tunaumizwa na Watanzania wenzetu kutekwa na Kuuliwa ,na Ufisadi mkubwa ulokithiri.


Hiki alichokisema, kinaendelea kuonyesha BASHITE Makonda ni mpumbavu na jinga na MTU mfitini.
 
Back
Top Bottom