GE2025 Makonda: Wanaombeza Samia hata kwenye familia zao wana Migogoro, Rais anapaswa kuombewa

GE2025 Makonda: Wanaombeza Samia hata kwenye familia zao wana Migogoro, Rais anapaswa kuombewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda amesema kuwa wanaombeza Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan watakuwa na Matatizo hata na familia zao

Makonda ameyasema hayo Leo Oct 13,2025 Katika Uwanja wa maonesho wa Dkt. Samia Geita Mjini Mkoani Geita kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia

Makonda amesema kuwa wao kazi Yao kubwa ni kuzungumzia Yale ambayo yamefanywa na Dkt. Samia hususani kwenye Maendeleo ya Taifa na kwa wale ambao hawapendi watakuwa na matatizo.
 
Back
Top Bottom