Ukweli ni kuwa viongozi wengi wa kisiasa wa awamu hii wanapenda konekana zaidi kwa kauli zaidi kuliko vitendo. Kila nikiangalia sioni namna baadhi ya sera zao zitakavokuwa na tija. Sasa hili pia la walimu ni.changamoto. Sijui kesho manesi,madaktari na wengineo wakicharuka itakuwaje!