MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Makonda ni nani?
Makonda ni nani?
makonda ni nani?
Makonda ni nani?
Wakuu ile hali ya woga imezidi kuiandama CCM kwa kuiogopa CHADEMA na sasa hata baada ya CHADEMA kujificha ndani ya UKAWA bado CCM wanawayawaya.
Hali hiyo ilimkumba Nape kwa kusema CHADEMA inafadhiliwa na nchi za Magharibi ili kuiangamiza CCM.
Hali hiyo imejirudia baada ya Kijana Makonda kudai UKAWA imefadhiliwa na Mataifa ya nje ambapo hupokea kiasi cha Sh. 450,000/- kwa siku ili kuharibu mchakato wa Katiba mpya.
Akiongezea akadai hata hivyo fedha hizo hazitawasaidia kwani UKAWA itakufa mapema na CHADEMA Itakufa Rasmi mwaka 2015.
Swali kwa Makonda iweje serikali ishindwe kuzuia fedha hzo haramu zisiingie nchini?
Je muda wa CHADEMA kufa umezogezwa mbele kwa nini ilihali Nape na Wasira walitabiri CHADEMA kufa 2013/2014?
CCM jikiteni kuwaeleza wananchi kuhusu ahadi alizotoa Kikwete zimefikia wapi na hili deni la Taifa trilion 30 zinalipwaje achaneni na mambo ya Utabiri.
Wakuu ile hali ya woga imezidi kuiandama CCM kwa kuiogopa CHADEMA na sasa hata baada ya CHADEMA kujificha ndani ya UKAWA bado CCM wanawayawaya.
Hali hiyo ilimkumba Nape kwa kusema CHADEMA inafadhiliwa na nchi za Magharibi ili kuiangamiza CCM.
Hali hiyo imejirudia baada ya Kijana Makonda kudai UKAWA imefadhiliwa na Mataifa ya nje ambapo hupokea kiasi cha Sh. 450,000/- kwa siku ili kuharibu mchakato wa Katiba mpya.
Akiongezea akadai hata hivyo fedha hizo hazitawasaidia kwani UKAWA itakufa mapema na CHADEMA Itakufa Rasmi mwaka 2015.
Swali kwa Makonda iweje serikali ishindwe kuzuia fedha hzo haramu zisiingie nchini?
Je muda wa CHADEMA kufa umezogezwa mbele kwa nini ilihali Nape na Wasira walitabiri CHADEMA kufa 2013/2014?
CCM jikiteni kuwaeleza wananchi kuhusu ahadi alizotoa Kikwete zimefikia wapi na hili deni la Taifa trilion 30 zinalipwaje achaneni na mambo ya Utabiri.
Wakuu ile hali ya woga imezidi kuiandama CCM kwa kuiogopa CHADEMA na sasa hata baada ya CHADEMA kujificha ndani ya UKAWA bado CCM wanawayawaya.
Hali hiyo ilimkumba Nape kwa kusema CHADEMA inafadhiliwa na nchi za Magharibi ili kuiangamiza CCM.
Hali hiyo imejirudia baada ya Kijana Makonda kudai UKAWA imefadhiliwa na Mataifa ya nje ambapo hupokea kiasi cha Sh. 450,000/- kwa siku ili kuharibu mchakato wa Katiba mpya.
Akiongezea akadai hata hivyo fedha hizo hazitawasaidia kwani UKAWA itakufa mapema na CHADEMA Itakufa Rasmi mwaka 2015.
Swali kwa Makonda iweje serikali ishindwe kuzuia fedha hzo haramu zisiingie nchini?
Je muda wa CHADEMA kufa umezogezwa mbele kwa nini ilihali Nape na Wasira walitabiri CHADEMA kufa 2013/2014?
CCM jikiteni kuwaeleza wananchi kuhusu ahadi alizotoa Kikwete zimefikia wapi na hili deni la Taifa trilion 30 zinalipwaje achaneni na mambo ya Utabiri.