Makonda: (Short Video) Hachuji anachoongea

Makonda: (Short Video) Hachuji anachoongea

supercharger GT

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
1,023
Reaction score
1,976
Hii tabia siku hizi inazidi kukomaa kwa huyu jamaa, hapo anazisema gari ndogo ndogo bila kufikiri kuwa wengi wa waliohudhuria hapo watakuwa na hivyo 'vigari vya kuhongwa hongwa' kama anavyosema mwenyewe.

Sipati picha uko na mke wako hapo mnatoka kwenye hiyo shughuli mnarudi kupanda Toyota RAUM au IST yenu, mke akiangalia pembeni kuna BMW X3 imepark, lazima mke akuone kakiazi fulani hivi.

Jamaa anajua kudhalilisha sana bila kuangalia wanaomsikiliza
 
Hii tabia siku hizi inazidi kukomaa kwa huyu jamaa, hapo anazisema gari ndogo ndogo bila kufikiri kuwa wengi wa waliohudhuria hapo watakuwa na hivyo 'vigari vya kuhongwa hongwa' kama anavyosema mwenyewe.

Sipati picha uko na mke wako hapo mnatoka kwenye hiyo shughuli mnarudi kupanda Toyota RAUM au IST yenu, mke akiangalia pembeni kuna BMW X3 imepark, lazima mke akuone kakiazi fulani hivi.

Jamaa anajua kudhalilisha sana bila kuangalia wanaomsikiliza
View attachment 1112860
Huyu kuna siku atakuwa kama samuel Doe! Mtakaokuwepo mtanipigia simu! Yale yale ya Charles Njonjo!
 
Mkuu nilichogundua kwenye hii nchi wazalendo wa kweli hawana nafasi na mamlaka, so ukipata nafasi ya pesa we piga ipasavyo

Huo ndio ukweli ata mie nikipata nafasi nakula niwezavyo ..yote tutajibu siku ya mwisho kwa wanao amini
 
Kwa kweli huyu ndio msukuma halisi hawezi kukaa na mie mchaga kwa kweli jamani
 
Kwa hali ilivyo sasa sidhani kama kuna MTU wa kuonga gari,labda kukodishiwa GARI.
 
Back
Top Bottom