Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,272
Muda umemaliza kaziMuda utamfunza
Muda umemaliza kaziMuda utamfunza
Halafu akina mama wanamshangiliaHii tabia siku hizi inazidi kukomaa kwa huyu jamaa, hapo anazisema gari ndogo ndogo bila kufikiri kuwa wengi wa waliohudhuria hapo watakuwa na hivyo 'vigari vya kuhongwa hongwa' kama anavyosema mwenyewe.
Sipati picha uko na mke wako hapo mnatoka kwenye hiyo shughuli mnarudi kupanda Toyota RAUM au IST yenu, mke akiangalia pembeni kuna BMW X3 imepark, lazima mke akuone kakiazi fulani hivi.
Jamaa anajua kudhalilisha sana bila kuangalia wanaomsikilizaView attachment 1112860
Nadhani anapata taabu sana sasa hivi, kwa sababu kila anayemzunguka aliguswa na moja ya kauli zake za wakati ule! Yule bwana aligusa kila mtu kwa dharau zile aisee.....Iko wapi sasa?
Mtu wa ajabu sana yule