Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Kijana machachari Makonda anaweza kujenga hoja kwa njia rahisi ikawafikia kila rika.Tazama alivyomwaga facts
Makonda au daudi bashite??
Kijana machachari Makonda anaweza kujenga hoja kwa njia rahisi ikawafikia kila rika.Tazama alivyomwaga facts
Big up sana mkuu.. waambie hao..Mtasema sana mtalalama sana hadi mapovu yatawatoka mdomoni, mkubali msikubali, mpende msipende, PAUL MAKONDA ndiye mkuu wetu wa mkoa, wewe pamoja na digrii zako kama unazo, hujapewa hata ubalozi wa shina. Acheni kijana wetu afanye kazi, Mh. acha kusikia la watu, wao watasema usiku watalala wewe CHAPA KAZI.
Kijana machachari Makonda anaweza kujenga hoja kwa njia rahisi ikawafikia kila rika.Tazama alivyomwaga facts