MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Tangu kuondoka kwa Wakuu wa Mikoa kama Makonda, Mnyeti, Gambo na Mwanri mikoa hiyo kama imesinyaa kwa baadhi ya mambo.
Sisemi kuwa maendeleo ndiyo yamesinyaa ila kuna baadhi ya mambo kama hayako sawa. Ule usafi wa kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi mkoani DSM kama imekosa muendelezo wake. DSM imekuwa kama sio Jiji Kuu la biashara tena.
Kule Arusha nako zile heka heka za hapa na pale hazisikiki tena kwenye vyombo vya habari hata kwenye mitandao pia. Tabora ama Toronto chini ya Mwanri imekuwa kimya sana hata attention ya media sio sana. Kadhalika kule Manyara kwa Mnyeti kuko kimya sana.
Mara nyingine unaweza usiwajue hata Wakuu wa Mikoa hiyo kwa majina yao. Wamekuja na style mpya kabisa ya kuongoza mikoa hiyo.
Na hapa ndipo unapoweza kujua uongozi sio tu kuwaletea maendeleo watu bali pia jamii inakukubali kwa kiwango gani.
Kazi za hawa Wakuu wapya wa mikoa zimekuwa hazionekani sana kama za watangulizi wao, zimekuwa kama kazi za wahandishi wa maji, wanafanya kazi kubwa sana lakini hazionekani kwani baada ya kumaliza kazi zao huwa wanafukia mabomba chini ya ardhi na kuzificha udongoni.
Kuna baadhi ya wakuu wa mikoa wanashindwa na Wakuu wa Wilaya katika kuonesha uwezo wao wa kusimamia mambo. Kijana kama Ole wa Hai anaonekana sana kwa kuwa muibuaji wa mambo mengi.
Kusema ukweli kuna mikoa hasa hasa DSM na Arusha inawahitaji wakuu wa mikoa wenye kelele nyingi kwa sababu ya asili ya mikoa yenyewe. Kwa sasa Mkuu wa Mkoa anayeonekana kufaa kwa kelele ni wa kule Mbeya. Amekuwa kama kinara wa kuonekana sana kuwashinda wenzake. Na hapo ndipo tunawapo wakumbuka akina Makonda na wenzake.
Lakini pia kuna watu wanapenda sana uongozi lakini kama uongozi hauwataki wao. Makonda bado ataendelea kuwa kinara wa enzi zake. Inaonekana kama uongozi unampenda sana Makonda. Absence yake bado inaonekana sana mpaka leo mjini DSM.
Sio kila mtu anaweza kuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM na Arusha. Makonda kafanya transformation nyingi sana mkoani DSM
Sisemi kuwa maendeleo ndiyo yamesinyaa ila kuna baadhi ya mambo kama hayako sawa. Ule usafi wa kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi mkoani DSM kama imekosa muendelezo wake. DSM imekuwa kama sio Jiji Kuu la biashara tena.
Kule Arusha nako zile heka heka za hapa na pale hazisikiki tena kwenye vyombo vya habari hata kwenye mitandao pia. Tabora ama Toronto chini ya Mwanri imekuwa kimya sana hata attention ya media sio sana. Kadhalika kule Manyara kwa Mnyeti kuko kimya sana.
Mara nyingine unaweza usiwajue hata Wakuu wa Mikoa hiyo kwa majina yao. Wamekuja na style mpya kabisa ya kuongoza mikoa hiyo.
Na hapa ndipo unapoweza kujua uongozi sio tu kuwaletea maendeleo watu bali pia jamii inakukubali kwa kiwango gani.
Kazi za hawa Wakuu wapya wa mikoa zimekuwa hazionekani sana kama za watangulizi wao, zimekuwa kama kazi za wahandishi wa maji, wanafanya kazi kubwa sana lakini hazionekani kwani baada ya kumaliza kazi zao huwa wanafukia mabomba chini ya ardhi na kuzificha udongoni.
Kuna baadhi ya wakuu wa mikoa wanashindwa na Wakuu wa Wilaya katika kuonesha uwezo wao wa kusimamia mambo. Kijana kama Ole wa Hai anaonekana sana kwa kuwa muibuaji wa mambo mengi.
Kusema ukweli kuna mikoa hasa hasa DSM na Arusha inawahitaji wakuu wa mikoa wenye kelele nyingi kwa sababu ya asili ya mikoa yenyewe. Kwa sasa Mkuu wa Mkoa anayeonekana kufaa kwa kelele ni wa kule Mbeya. Amekuwa kama kinara wa kuonekana sana kuwashinda wenzake. Na hapo ndipo tunawapo wakumbuka akina Makonda na wenzake.
Lakini pia kuna watu wanapenda sana uongozi lakini kama uongozi hauwataki wao. Makonda bado ataendelea kuwa kinara wa enzi zake. Inaonekana kama uongozi unampenda sana Makonda. Absence yake bado inaonekana sana mpaka leo mjini DSM.
Sio kila mtu anaweza kuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM na Arusha. Makonda kafanya transformation nyingi sana mkoani DSM