Hahahahaaaa Jamii forum raha sana naongeza cku za kuishMameya wa UKAWA mmesikia.Hiyo sio ajira kuwa kutwa mko maofisini manispaa au jiji.Kafungueni mashamba hata ya mchicha.Meya ni mwenyekiti wa vikao sio ofisa mwajiriwa wa halmashauri au jiji.
wewe mbona unaongea kazi unafanya saa ngapi?Mkuu hebu Fanya Kazi unaongea sana