Ndugu yangu Makonda system iliyopo sasa inakutumia kama toilet paper.
Ulipewa uenezi wa chama.. ukatamba na kuibua madudu ya chama na serikali yako.
Wananchi wenye fikra fupi wakakuona mwokozi wao wakati sisi waelewa tulijua tangu mwanzo kuwa mnafanya maigizo.
Hata hivyo kwa kuwa mtaji wa CCM ni ujinga wa Watanzania, ziara yako iliweza kuirudisha imani ndogo ya wananchi kwa chama.
Wakubwa na wasiokupenda walipokaa kitako wakaona unaichafua serikali ya Mama na kujisafisha wewe na team Magu.
Wakubwa waliponusa hatari wakaamua wakupoteze kwenye ramani ya siasa.
Huko Arusha ulikopelekwa ni mtego kwako. Jitahidi sana uushinde.
Wakubwa wako wanategemea ukaoneshe grandiose zako upambane na CDM. Katika kupambana nao wanajua huna akili za kiungwana hivyo utajikuta umefanya jinai.
Mwisho wa siku utaishia jela kama mwenzako Sabaya.
Wakati unateseka huko jela team JK akina Nape , Makamba n.k watakuwa wanakula kuku kwa mrija.
Ushauri:
Be humble, tengeneza mazingira sawa ya siasa kwa vyama vyote, jiepushe na migogoto otherwise ukipeleka ubabe huko utakutokea puani.
Ulipewa uenezi wa chama.. ukatamba na kuibua madudu ya chama na serikali yako.
Wananchi wenye fikra fupi wakakuona mwokozi wao wakati sisi waelewa tulijua tangu mwanzo kuwa mnafanya maigizo.
Hata hivyo kwa kuwa mtaji wa CCM ni ujinga wa Watanzania, ziara yako iliweza kuirudisha imani ndogo ya wananchi kwa chama.
Wakubwa na wasiokupenda walipokaa kitako wakaona unaichafua serikali ya Mama na kujisafisha wewe na team Magu.
Wakubwa waliponusa hatari wakaamua wakupoteze kwenye ramani ya siasa.
Huko Arusha ulikopelekwa ni mtego kwako. Jitahidi sana uushinde.
Wakubwa wako wanategemea ukaoneshe grandiose zako upambane na CDM. Katika kupambana nao wanajua huna akili za kiungwana hivyo utajikuta umefanya jinai.
Mwisho wa siku utaishia jela kama mwenzako Sabaya.
Wakati unateseka huko jela team JK akina Nape , Makamba n.k watakuwa wanakula kuku kwa mrija.
Ushauri:
Be humble, tengeneza mazingira sawa ya siasa kwa vyama vyote, jiepushe na migogoto otherwise ukipeleka ubabe huko utakutokea puani.