Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Umenena. Harusi nyingi hivi sass siyo za Wachaga kwa wachaga bali wanaolewa na kabila nyengine!
Wanawake wa kichaga wengi ni wasomi pia wanaolewa na wasomi wenzao,
Product zao lazima zikamate usukani wa mother TZ.
 
Wanawake wa kichaga wengi ni wasomi pia wanaolewa na wasomi wenzao,
Product zao lazima zikamate usukani wa mother TZ.
INGEKUWA UONGOZI HASA HUO URAIS UNAPATIKANA KWA KUFANYA MITIHANI HAPO KIDOGO MNGEFIKIRIWA. LAKINI KWENYE SANDUKU LA KURA HATA BILA UCHAKACHUAJI HAKUNA WATANZANIA WENGI WATAWAPA KURA NJE YA WACHAGA WENZENU AMBAO HATA HIVYO IDADI YENU HAITOSHI.
 
Lakini tofauti ya Nyerere na Makonda licha ya kuwepo kwenyr vyeti i.e mmoja alikua navyo na mwingine hana, kitu kingine ni busara na hekima Nyerere alikua navyo lakini huyu mwingine inabidi tutafute kwa tochi
Unaweza kutafuta kitu ambacho hakipo?
 
Tuache mambo ya hovyo ya ukabila katika jukwaa hili. TANZANIA ya leo ni ya mchanganyiko wa makabila na dini. Hao viongozi wote huko juu wameoana wa makabila tofauti.

Tunajenga taifa la watanzania na sio la makabila. Mtu yeyote atakayebainika ndani ya utumishi wa umma anayeleta ukabila ashughulikiwe mara moja.
 
Lakini tofauti ya Nyerere na Makonda licha ya kuwepo kwenyr vyeti i.e mmoja alikua navyo na mwingine hana, kitu kingine ni busara na hekima Nyerere alikua navyo lakini huyu mwingine inabidi tutafute kwa tochi
Kumbe makonda anacho ila ili kionekane inabd torch itumike
 
Haswaa wachaga wana historique kubwa Sana ktk hii nchi
 
Kwahiyo ukioa mchaga ndio umeufuta uchaga?
Kumbuka wachaga Ni kabila la 3 kwa watu wengi ukiondoa wasukuma na wanyamwez
Wachaga wapo dunia nzima achilia mbali kila mkoa
 
Mkiwapa urais watu kwa ulabila mtakoma, kwani kwenye TRA, bandari, Bot, na sehemu zote wataweka watoto wao na ndugu zao,

Ukabila sio dili jamani
 
tatizo sio Makonda, tatizo ni wachaga tena sio wote, wachaga kwa kawaida ni wahangaikaji sio watu wa maneno kama mleta mada il;a kuna watu wanataka kuutumia uchaga kama njia ya kufanikisha malengo yao ya kisiasa toka zamani wachaga waliaminiwa ndio maana walipata madaraka kwenye sekta nyeti za nchi ila kwa ujinga na ushamba wa watu wachache wanataka kutumia uchaga kutimiza ajenda zao za kisiasa
 
maneno haya yanawaumiza sana " Rais hawezi kutoka kaskazini". ni dhambi gani mbaya mliyoshiriki enyi watu wa kaskazini? Nauliza tu, maana mimi bado ni mdogo nipo katika ukuaji wa kujua ya zamani.
Kwa ufafanuzi tu kwako dogo ni kwamba nyerere aliwahi kuzikwa na chama chake enzi za utawala wa chama cha tanu ya jenga nchi pamoja na ile bendera na picha ya nyerere hapo ndo mwanzo wachuki na wachaga hakuwahi kurudi kilimanjaro tena kwa ziara zake hadi anatoka ikulu miaka yake 23 ya utawala.kwa maana hiyo kilimanjaro toka enzi ni wapinzani pamoja na kuwa serekali ya chama kimoja .
 
Ukifuatilia nyuzi nyingi humu JF zinazosifia mambo ya kikabila, asilimia 90% ni wachaga kujisifia.
Wachaga mnaweza mambo mengi hakuna anaekataa, Sasa kwanini hamjiamini mpaka matangazo kila kona kwenye mitandao?
Pole sana.
Sijui Kuna tatizo gani na Uchaga.
 
Kauli ya Makonda aikuwa na malice zozote sanasana yeye alipeleka utani mahala pasipo na kutumia mfano wa ovyo.

Lakini intentions hazikuwa kuwa kejeli wachagga au dhumumi la kuleta ukabila zaidi ya yeye Makonda kutaka kuchangamsha baraza mahala sipo na mfano sio.

Hata kama mtu umpendi usimzushie vitu
 
Sio maendeleo! Ubinafsi na ubaguzi uliokithiri! Na hii imekuwa ni tabia ya wachaga kuanzia mashuleni mpaka kwenye maisha ya kawaida.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…