Makonda, huu ndio muda wa 'kumkomesha' Mbowe. Hakuna haja ya kumkimbia!

Fanya hivi: pokea nyaraka za kimahakama zinazobeba malalamiko ya Mbowe kwenye kesi yake ya kikatiba. Halafu,tokeza mahakamani na ushiriki kwenye kesi yako.

Kaoneshe,kimahakama na kisheria,jinsi ulivyo na nguvu ya kuwatangaza wahalifu,kuwaita polisi na kuwasweka wananchi na viongozi rumande. Kalinde vifungu vinavyopingwa kwakuwa ndivyo vinavyokupa nguvu uliyonayo

Nimeambiwa kuwa leo Mbowe anatamba peke yake Mahakama Kuu. Wewe Makonda,Sirro na Wambura hampo. Kwa upande wa Walalamikiwa wote,yupo Mwanasheria Mkuu tu.

Hakuna haja ya kukimbia,mnapaswa kukimbilia.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Wamekusikia mzee tupatupa..... Mzee wa daslamu!
 
Hahahaha cdm bana. Mpaka mnatia Huruma. Kwa sasa JD zetu ni kuamkia mahakamani. No operation again.
Kwa sasa mnasahau hata kuhash tag kijana mwenzetu ambaye hajulikani aliko. Au mlishajua? Maana mko kimya kabisa.
Hata we ni kijana mwenzako pia unaweza kua Wa kwanza
 
Fanya hivi: pokea nyaraka za kimahakama zinazobeba malalamiko ya Mbowe kwenye kesi yake ya kikatiba. Halafu,tokeza mahakamani na ushiriki kwenye kesi yako.

Kaoneshe,kimahakama na kisheria,jinsi ulivyo na nguvu ya kuwatangaza wahalifu,kuwaita polisi na kuwasweka wananchi na viongozi rumande. Kalinde vifungu vinavyopingwa kwakuwa ndivyo vinavyokupa nguvu uliyonayo

Nimeambiwa kuwa leo Mbowe anatamba peke yake Mahakama Kuu. Wewe Makonda,Sirro na Wambura hampo. Kwa upande wa Walalamikiwa wote,yupo Mwanasheria Mkuu tu.

Hakuna haja ya kukimbia,mnapaswa kukimbilia.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mzee Tupa Tupa umeonyesha hekima ya utu uzima wako asante
 
Ataonyeshaje mahakama nguvu ya kisheria ya kutangaza wahalifu na kuwakamata wakati hyo nguvu hana wala hakua na hayo mamlaka
 
Hii indio inaitwa tii sheria bila shuruti.
Inabidi watii sheria wanayoisimamia bila hivyo wanatutia shaka sisi wanaotusimamia kutii sheria bila shuruti.
Kama wao wanao sema tii sheria bila shuruti wana shindwa kuwa mfano basi hawafai kuwa viongozi Mh. Rais anatakiwa kuona hilo na kuwa adhibu kwa kuidharau mahakama.
Pia nashauri kesi zilizoko mahakamani zilizo anzia kwa hawa jamaa mahakama izitupilie mbali kwa vile zina kila dalili ya dhuluma na hazistahili kusikilizwa..
 
Aende haogopi atakutana na TL rais mtarajiwa wa TLS

Mfano

TL:Jina lako nani?

Makonda:paul Makonda

TL:Elimu yako?

Mknda:Chuo kikuu

TL:Unaweza kutaja shule yako kidato cha nne?

Mknda:Hapana!

TL:Idhibitishie mahakama kuwa cheti cha kidato cha nne haukukinunua kwa mtu!

Mknda:hapana

TL;Mtukifu hakimu Ndugu mshakiwa paul makonda amekiri kuwa cheti chake cha kidato cha nne alikinunua na kusema kwamba hawezi kuthibitisha kama ni chake hivyo ana mashtaka meng kama ifuatavyo-:

1)Amegushi nyaraka za serikali hivyo kutokana na katiba ya jamuhuri ya muuungano wa tanzania hukumu yake iko wazi

Hapo kesi ya kuropoka majina wakati wewe ni mtuhumia bado

Hata ningekuwa mimi.makondo siendi wakat najua mimi by professional ni mzoa mchanga

Harafu leo umwambie aende mahakamani hivi wewe unamsaidia au unampoteza!!
 
Aisee!kila shetwani na mbuyu wake !!makonda na mbwembwe zote hajatokea mahakamani!hahahaa
 
Wanaona aibu kwenda mahakamani......inabidi wajifiche tu. Pia nashauri (if possible) wapimwe if they are well mentally. Who knows?
Inatia ukakasi wao wanasisitiza watu watii utawala wa sheria lakini wao wanakuwa wakwanza kukaidi hizo sheria. Hii ndiyo tatizo ya damb ass leaders wanaodhani wako superior kumbe superiority yao wamejenga kwenye misingi ya inferiority complex.

Pia nashauri wapelekwe kwa mkemia mkuu wakapimwe kama wanatumia unga,maana kwa akili za kawaida huwezi kufanya waliyoyafanya ukiwa sobber,kuna msukumo utokanao na kuingia kwa kitu ktk bongo zao na kupelekea kufanya vile
 
Fanya hivi: pokea nyaraka za kimahakama zinazobeba malalamiko ya Mbowe kwenye kesi yake ya kikatiba. Halafu,tokeza mahakamani na ushiriki kwenye kesi yako.

Kaoneshe,kimahakama na kisheria,jinsi ulivyo na nguvu ya kuwatangaza wahalifu,kuwaita polisi na kuwasweka wananchi na viongozi rumande. Kalinde vifungu vinavyopingwa kwakuwa ndivyo vinavyokupa nguvu uliyonayo

Nimeambiwa kuwa leo Mbowe anatamba peke yake Mahakama Kuu. Wewe Makonda,Sirro na Wambura hampo. Kwa upande wa Walalamikiwa wote,yupo Mwanasheria Mkuu tu.

Hakuna haja ya kukimbia,mnapaswa kukimbilia.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Unasemaje amekimbiwa wakati kulikuwa na mawakili kuwa wakilisha wahusika?
Sio lazima aje hapo mahakamni wakati ana majukumu muhimu zaidi ya kitaifa...
 
Back
Top Bottom