LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Hawaja amini kama wange itwa mahakamani. Walijidanganya wao ndio kila kitu. Sasa tusubiri nao wakamatwe kwa kukataa kutii amri halali ya mahakama.Fanya hivi: pokea nyaraka za kimahakama zinazobeba malalamiko ya Mbowe kwenye kesi yake ya kikatiba. Halafu,tokeza mahakamani na ushiriki kwenye kesi yako.
Kaoneshe,kimahakama na kisheria,jinsi ulivyo na nguvu ya kuwatangaza wahalifu,kuwaita polisi na kuwasweka wananchi na viongozi rumande. Kalinde vifungu vinavyopingwa kwakuwa ndivyo vinavyokupa nguvu uliyonayo
Nimeambiwa kuwa leo Mbowe anatamba peke yake Mahakama Kuu. Wewe Makonda,Sirro na Wambura hampo. Kwa upande wa Walalamikiwa wote,yupo Mwanasheria Mkuu tu.
Hakuna haja ya kukimbia,mnapaswa kukimbilia.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hivi Makonda, Siro na Wambura wao ni kina nani?? Kama Mh. Mkapa alitii amri ya mahakama na kwenda kujieleza hawa ni kina nani???