rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,441
Huyu mtu anayeitwa Makonda Mkuu wa wilaya ya Kinondoni tunapata habari zake kila siku,leo kaja na habari ya kusimamisha uzalishaji katika kiwanda cha Urafiki.
Hata afanye nini bado ni mtu anayedharaulika sana na kamwe hawezi kubadilisha mawazo ya watanzania kuhusu yeye,inawezekana ana nuksi manake kazi anazofanya ingekuwa mtu mwingine ni story mitaani lakini kwa yeye ni kimya.
Namshauri akae chini atulie asubiri mwanaume apange kazi inawezekana hata tusimsikie tena kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania .
Hata afanye nini bado ni mtu anayedharaulika sana na kamwe hawezi kubadilisha mawazo ya watanzania kuhusu yeye,inawezekana ana nuksi manake kazi anazofanya ingekuwa mtu mwingine ni story mitaani lakini kwa yeye ni kimya.
Namshauri akae chini atulie asubiri mwanaume apange kazi inawezekana hata tusimsikie tena kwenye ulimwengu wa siasa za Tanzania .