GE2025 Makonda awaita wenye hoja za msingi kwenye mdahalo wa katiba mpya

GE2025 Makonda awaita wenye hoja za msingi kwenye mdahalo wa katiba mpya

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amewataka wanaohamasisha uchaguzi
uahairishwe kwaajili ya kupisha marekebisho ya katiba wajitokeze kufanya mdahalo nae.

Makonda amesema " Kama kuna watu wanajiamini kwamba wanazo hoja za nguvu juu ya mambo ya katiba tufanye mdahalo nao, tunawaacha watu waovu wamesema kwa nguvu nyingi mpaka ikafika hatua wakaonekana wao wapo sahihi yaani wewe unayesimamia katiba, sheria unaonekana wewe ndio mbaya wanaovunja sheria na katiba wao wanaonekana wazuri. Paul makonda Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM leo Oktoba 11, 2025 mkoani Shinyanga.

Ana waibisha anao jinasibu nao. Iwe watu kanda ya yake au wenye Elimu kama yake
 
A wise man once said "don't argue with fools, because people from a distance can't tell who is who"
 
Tunamjua huyo ni mmiliki wa vyeti feki, elimu yake imejaa matope kichwani, anataka watu gani sasa waje kubishana na jambazi la vyeti!.
 
Mtu alienunua vyeti hajui hata kuandika teye ni nani.leo anataka mdahalo kwa maslahi Taifa khass ujinga mzigooo mkubwa sanaaa
 
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amewataka wanaohamasisha uchaguzi
uahairishwe kwaajili ya kupisha marekebisho ya katiba wajitokeze kufanya mdahalo nae.

Makonda amesema " Kama kuna watu wanajiamini kwamba wanazo hoja za nguvu juu ya mambo ya katiba tufanye mdahalo nao, tunawaacha watu waovu wamesema kwa nguvu nyingi mpaka ikafika hatua wakaonekana wao wapo sahihi yaani wewe unayesimamia katiba, sheria unaonekana wewe ndio mbaya wanaovunja sheria na katiba wao wanaonekana wazuri. Paul makonda Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM leo Oktoba 11, 2025 mkoani Shinyanga.

Aka resit mitihani yake apate vyeti kwa jina lakee
 
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amewataka wanaohamasisha uchaguzi
uahairishwe kwaajili ya kupisha marekebisho ya katiba wajitokeze kufanya mdahalo nae.

Makonda amesema " Kama kuna watu wanajiamini kwamba wanazo hoja za nguvu juu ya mambo ya katiba tufanye mdahalo nao, tunawaacha watu waovu wamesema kwa nguvu nyingi mpaka ikafika hatua wakaonekana wao wapo sahihi yaani wewe unayesimamia katiba, sheria unaonekana wewe ndio mbaya wanaovunja sheria na katiba wao wanaonekana wazuri. Paul makonda Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM leo Oktoba 11, 2025 mkoani Shinyanga.


Mshebzi sana huyu DOGO. Kuna siku Magufuli aliuliza, hivi hawa Watoto wa 82 wana matatizo gani? Akirefer kwa Makonda na Mnyeti.

Sasa huko kwenye Bunge la Katiba slikwenda kufanya nini? Mpumbavu kabisa.
 
Back
Top Bottom