Unajibu tu kwa pupa kama limwehu fulani hivi..sijui kama umetumia akili kujua jibu langu na comment niliyojibu.sasa ukijua kama mimi mwenyewe ni mwana chadema au hata sina chama chochote sijui utasemaje.Duuu hiv suala kama ili mnaketa ujinga wenu kwel wa kisiasa? Hao chadema au usisimu sa hiv unawasaidia nn walio poteza ndugu zao na wapo na klio? Nyie kla SKU mna amka na chadema tuu? Hat ka ndo mnaingza SKU kwa kuisema ila wakat mwingne hasa seriously tuache ujinga kabsa
Huyo anafananisha mbingu na ardhi,ajali hazifanani hata kidogo na hawakusitisha kwa sababu ya gizaNi Thailand
Tatizo kubwa kama hili watu mnaleta siasa.....Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Mbunifu wa KTU gan hasa? C angebuni mbinu afaulu form 4?Mbona wavuvi wanavua usiku ?? Sio mbunifu naamini RC makonda angeweza maana ni mbunifu
Mkuu wa mkoa wa mwanza, makonda, chadema!!! What a fucken comparison, ongea jambo la kueleweka hata kama unataka kumpaisha bashite kupitia msiba huu sio kihivyo, jaribu kuwa na akili sio kila ishu ni ya kujikweza na kutafuta sifa!! Sijui uwa anawalipa shilingi ngapi huyo bashite maana sio kwa kujipendekeza huko!Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Umeona ndugu yangu alafu huyu mkuu wa mkoa anatokea huko huko, Yaani mama yake ni Bi Getrude Mongella ambaye kwa vipindi kadhaa alikuwa mbunge wa Ukerewe akiachiana na mzee Pius Msekwa, Sasa kiistoria ya vizazi vya viongozi na yeye atakuja kuwaomba kura wakazi wa ukalla na visiwa vyote vya ukalla ambavyo wakazzi wake leo hii wanalia kwa kuwapoteza wapendwa wao..Atubela, inauma sana, uko sahihi sana
how can you sleep raia wako kwenye maji??
kuna watu wana roho mbaya sana na hawana sense ya uwajibikaji
mkuu wa mkoa katuumiza sana
AbabelaaUmeona ndugu yangu alafu huyu mkuu wa mkoa anatokea huko huko, Yaani mama yake ni Bi Getrude Mongella ambaye kwa vipindi kadhaa alikuwa mbunge wa Ukerewe akiachiana na mzee Pius Msekwa, Sasa kiistoria ya vizazi vya viongozi na yeye atakuja kuwaomba kura wakazi wa ukalla na visiwa vyote vya ukalla ambavyo wakazzi wake leo hii wanalia kwa kuwapoteza wapendwa wao..
Let wait and see 2020 tutamsikia na yeye anawaomba kura
Angekua ndugu yako nae yupo kwenye hicho kivuko labda usingeliandika hivyoTukiwa kama wananchi hisia zetu zipo mahala pake lakini kama nchi zingine huacha uokoaji kwa muda kutokana na maswala mbalimbali kwanini sisi tulazimishe?
Akili ya kawaida inasema kilichozuia uokoaji ni ukosefu wa vifaa vya kisasa, tukilazimisha tunaweza jikuta tunawapoteza na waokoaji wenyewe.
CCM wangesemaje?Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Yaani unawashangaa CHADEMA kwa jambo ambalo umelifikiria tu na halipo? Nakushangaa sana. Unaweza kumfikiria Magu kafa, ukaanza kulia.Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Unawaza maneno ya watu badala ya kuwaza maisha ya Watanzania. Mbona mnaishi kwa wasiwasi hivyo??Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Heeee!!! Yaani kazi ya kuvua samaki unailinganisha na zoezi la uokoaji binadamu majini?? Kama huna vifaa vya uokoaji?? Ubunifu bila vifaa? Majanga yanayotokea tu nchi kavu huwa tunawaona tu wanavyohangaika, kutokana na vifaa duni, mfano ajari inatokea watu wanabanwa kwenye magari, wanakaa masaa kibao bila msaada, sembuse majini?? Kifupi hatuko tayari kwa majanga, jeshi la zima moto na uokoaji na marine hawana vifaa na wataalam!! Mvuvi akishusha nyavu tu anasubilia kuvuta, ulinganishe na uokoaji?!Mbona wavuvi wanavua usiku ?? Sio mbunifu naamini RC makonda angeweza maana ni mbunifu