britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,
Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,
Nawashangaa sana CHADEMA