Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Makonda siku zote ni mtu wa kujikomba mmesahau kuwa alikua akimfunga Riz1 kamba za viatu??????
Tafadhali ndugu!!!!😯😯😯, kuna ukweli wowote hapo???
Makonda siku zote ni mtu wa kujikomba mmesahau kuwa alikua akimfunga Riz1 kamba za viatu??????
Makonda siku zote ni mtu wa kujikomba mmesahau kuwa alikua akimfunga Riz1 kamba za viatu??????
View attachment 1251276
Na hiii ni Marekani????
View attachment 1251276
Na hiii ni Marekani????
Nakuuliza tenaMkuu ,sijui kwanini umeniuliza hilo swali,anyway labda hukuelewa nilichoandika
Kuhusu hiyo picha uliyoweka,kwani unamjua aliyeitengeneza ? Na ina miaka mingi zaidi ya tisa wakati ule hatukua na hiyo sheria
Sio babyMtu anampigania baba ake asitaniwe taniwe
Hapooo mm sijui kama vipi toa hiyo a ya mwisho weka ySio baby
Mbn zote n za marekani wakuu
MKUU HII HAIPASWI KUWA COMMENT BALI THREAD UMETEMA LECTURE YA MAANA ,BIG UPKitu ambacho watawala wetu hawajui ni kwamba, ukiwapa watu uhuru wa kutia maoni, unawafaidisha wao wananchi, na wewe mtawala unafaidi.
1. Unawafaidisha wananchi kwa kuwapa uhuru wao wa kikatiba.
2. Kisaikolojia, mtu anayeonewa lakini akaachiwa uhuru wa kusema kaonewa ana uwezo mkubwa wa kusamehe ma kuendelea na maisha kuliko mtu ambaye kaonewa, halafu kanyimwa uhuru wa kujieleza. Unaweza kuzuia mapinduzi ya kijeshi kwa kuwapa watu uhuru wa kujieleza.
3. Kiintelijensia, ni rahisi kuwafuatilia na kuwadhibiti watu waliopewa uhuru wa kujieleza kuliko waliobanwa. Watawala kubana uhuru wa kujieleza wanajibania wenyewe nafasi za kupata taarifa.
4. Kiutendaji, kunyima watu uhuru wa kujieleza ni kuminya njia za kupata feedback kutoka kwa wananchi. Uongozi utashindwa kujitathimini kutokana na maoni ya moja kwa moja na ya kweli ya watu. Hii ni moja ya sababu Soviet Union ilianguka. Viongizi walikuwa wanaandikiwa ripoti za maendeleo za uongo tu. Mpaka Gorbachev akasema huu ujinga, hatuwezi kuendelea hivi.
5.Kuminya uhuru wa maoni kunaikosesha serikali nafasi ya kujibu hoja za wanaoisema vibaya. Nchi yenye uhuru wa kutia maoni, serikali ikishambuliwa kwa uongo, watu wanasema wazi, serikali inaoata nafasi ya kujibu tuhuma. Inajibu. Kama hakuna uhuru wa kutoa maoni, serikali inasemwa vibaya chinichini, hata kwa uongo, na uongo unaaminika kuwa ukweli. Kwa sababu serikali haipati nafasi kukanusha. Kwa sababu nchi imekosa uwazi watu wanasema chinichini.
Unasemaje? Twende wapi kwanzaTwende na Makonda 2035 panapomajaliwa.
Twende na Makonda kwa urais 2035.Unasemaje? Twende wapi kwanza
Inawezekana kabisa,mwaka 2014 kushuka magufuri alipewa nafasi ndogo Sana lakini Sasa ndio kiongozi wetu unataka au hutaki.Eti makonda ndo awe raisi,yaani nitacheka hadi nife