johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Nauliza tu maana hata Nape alipokuwa Mwenezi alisema Dr Slaa ni mwanachama wa CCM na Wengi tulimbishia hadi pale 2015 alipomaliza majukumu yake mtaa wa Ufipa
Sasa na Hili la Komredi Makonda kusema Wapinzani ni Watu wa kaunda Suti nyeusi wenye akili wamemuelewa
Nawatakia Christmas Njema 😄
Sasa na Hili la Komredi Makonda kusema Wapinzani ni Watu wa kaunda Suti nyeusi wenye akili wamemuelewa
Nawatakia Christmas Njema 😄