Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,588
Nadhani wote mmemsikia Paul Makonda kuhusu mpambano wa kuelekea 2030 kwenye kiti cha Urais kupitia ccm.
Makonda kwa madongo ya leo atakuwa anamlenga nani haswa?
Ila cha kusikitisha leo ni takribani miezi mitano tangu waingir madarakani ila vita ya Urais 2030 ni kama ishashika moto.
Hawa jamaa watauwana sana…
Pia soma: Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia
Makonda kwa madongo ya leo atakuwa anamlenga nani haswa?
Ila cha kusikitisha leo ni takribani miezi mitano tangu waingir madarakani ila vita ya Urais 2030 ni kama ishashika moto.
Hawa jamaa watauwana sana…
Pia soma: Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia