Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Tegemeeni yale yale, msikenue meno mkasema kutakuwa na unafuu uchaguzi ujao! Msijidanganye kwamba kuna jimbo mtapata, Msidhani Makonda kateuliwa kihasara hasara, hawa wameangalia mtu mwenye roho ngumu, na asieogopa chochote.
Huyu amewekwa hapo kuwashughulikia kisayansi, huyu ni Magufulism mwenye vinasaba vya roho mbaya, tukutane 2025 kama upinzani, mtaambulia hata kiti kimoja, mnipopoe kwa mawe.
Huyu amewekwa hapo kuwashughulikia kisayansi, huyu ni Magufulism mwenye vinasaba vya roho mbaya, tukutane 2025 kama upinzani, mtaambulia hata kiti kimoja, mnipopoe kwa mawe.