kumbe baba yake bado ni RaisYule Fatima anadhani babake kuwa rais basi inatosha ,kumbe kuna maisha baada ya kustafu
Fatma anaonekana anatamani kuwa nje ya himaya ya kitawala ili watu wamjue kama Fatuma na sio Fatuma Karume kwa kuwa anajua kuwa katika hali hiyo ndio kuishi kwake katika ukweli! nadhani mnanielewa wale waliosoma zamaniiii! lakini sasa haiwezekani kumtofautisha yeye na familia ya KifalmeYule Fatima anadhani babake kuwa rais basi inatosha ,kumbe kuna maisha baada ya kustafu
kwamba baba yake kama angekuwa sio rais mstaafu basi angefanya mpango wa kummiminia risasi sio chini ya 16.
Hongera kwa kung'amua hili mkuu...alijaribu akakuta ulinzi
so what, kwani si ndiyo maisha anayoishiYule Fatima anadhani babake kuwa rais basi inatosha ,kumbe kuna maisha baada ya kustafu
babake alisha staafu, na kuuwawa, wewe hujui lolote, upo kwenye orodha ya watanzania ambao hawajafika lanne huko wilaya ya KONGWA.
mkuu baba yake amekufa lini
Hiyo account ni fake c ya makondaView attachment 1147219
...jibu la anachomaanisha ni "Iga ufe"
Baba yake yupo hai!Aman Abeid Karume ,Babu yake ndiye aliye uawa Abeid Aman Karume!babake alisha staafu, na kuuwawa, wewe hujui lolote, upo kwenye orodha ya watanzania ambao hawajafika lanne huko wilaya ya KONGWA.
Stupid ww unayejipendekeza, unafikiri utakuwa ulivyo siku zotehuyu dada ni stupid sana hana hata akili moja mambo anayoyafanya hayalingani na status yake
Majibu ya maswali yetu yapo bayana na kumbe ht ile minong'ono ni kweli pia.View attachment 1147219
...jibu la anachomaanisha ni "Iga ufe"
Aliuwawa lini?!babake alisha staafu, na kuuwawa, wewe hujui lolote, upo kwenye orodha ya watanzania ambao hawajafika lanne huko wilaya ya KONGWA.