Makombora mengi ya Iran yashindwa kulipuka

Makombora mengi ya Iran yashindwa kulipuka

Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka
View attachment 3603699View attachment 3603701
Hizo ni propoganda hata kuna maboom ya USA pia mengine hayakulipuka Iran aliyaonyesha mbona mnatuonyesha moja tu simgetuonyesha mengi haha
 
Kama makombora hayalipuki na vita bado haiish mpaka Leo mafuta yapo juu SANA Ina maana Iran ameshindwa vita


Swal la kujiuliza mbona bado wanapigana na Iran imezuia mlango wa Bahar wa homZ na marekan yupo na Israel yupo anashindwa nn kuzuia hyo vita

Hapa za kuambiwa changanya na zakooo
Acha kudanganya watu hapo Hormuz hakipiti kitu bila idhini ya Marekani!! Iran kafunga na Marekani imefunga zaidi mpaka kwenye Bandari zake!!!

Waarabu-koko endeleeni kudanganyana tu hapo Hormuz Iran hana chake kila kitu kimesimama hakuna biashara yoyote hapo!!
 
Bother aina hizi za mkombora haziwezi kufika Israel zikiwa katika hali hiyo ...ipo hivi makombora ya Iran yanaenda kwa mfumo wa rocket... rockets zinatumika kusafirisha kombora mpaka nje ya dunia huko outer space mzee...ukiona unaliona kombora angani maana yake tayari limeshagawanyika...ile rocket huwa inajitoa inabaki war heads hizo ndo vilipuzi vyenyewe sasa...kwa hiyo hicho unachokiona hapo hakiendani kabisa na sayansi ya makombora.. kiufupi ni uongo..pengine AI imetumika kutengeneza hiyo kitu hapo...muda tu makosa ningekuelezea vizuri sana hizi mambo zilivyo....
Kati ya wajinga ni wewe unatuletea story za kijiweni na kujifariji kuficha kushindwa kwa shambulio la Iran dhidi ya Israel kinachowasumbua wati kama wewe ni aibu na AI imekuwa ni kichaka cha kusingizia.

Haya sasa tuambie AI hapo iko wapi mnaogopa nini kusema ukweli tu kuwa Iran kashindwa vibaya jana kwa makombola yake mengi kupopolewa na mengine kukosa muelekeo na kuangukia sehrmu za wazi!!.

Peleka sayansi yako hiyo Madrasa hapa ni kwatu wazima tunaojitambua!!
 

Attachments

  • VID_20260609_074744_523.mp4
    3.8 MB
  • VID_20260609_074726_528.mp4
    3 MB
  • VID_20260609_074700_324.mp4
    1.8 MB
Kombora halijalipuka au wewe ndiye umeshindwa kuelewa !?

Huoni kuwa mzigo umesha ungua kabisa huo nakubakia scraper!?

Hapo vitu vimeshatoka na kuangamiza watu 😄😄😁😁
 
Picha ya zamani tangu mwaka jana vita ya June war. Pia hayo ni intercepted missiles sio kombora ambalo limeshindwa kulipuka. Kabla hamjaropoka muhakiki taarifa.
Picha hizi za jana tu labda kitu ambacho umesema kweli ni kuwa hayo mabomu si kuwa hayakuripuka bali yamepopolewa( Intercepted).

Ni kweli jana Kaonyesha udhaifu wake dhidi ya Israel haluna kombola lake hata moja lililoweza kupenya mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel yote yalipopolewa angani na mengine kuangukia sehfmu za wazi.

Na laiti kama Iran ingeweza kupenyeza makombola yake na kupiga Israel badi leo hii mitandao ingezizima maana tungepigiwa kelele sana na Waarabu-Koko akina Ritz zitto junior gTurn mdogoee lakini sasa wanajifanya hawajauana uzi huu!!
 
Kombora halijalipuka au wewe ndiye umeshindwa kuelewa !?

Huoni kuwa mzigo umesha ungua kabisa huo nakubakia scraper!?

Hapo vitu vimeshatoka na kuangamiza watu 😄😄😁😁
Eti Hapo vitu vimeshatoka na kuangamiza watu!!! Hivi kwa nini ukiwa Mwarabu-Koko unakuwa mjinga kupindukia?

Yaani hapo jangwani limeangamiza watu!! Kuna imani zingine zinawafanya kuwa mazezeta kabisa!!!

Kombola hilo limeangukia sehemu za wazi likaripuka hapo hapo halikuangamiza mtu yeyote labda tu limekuangamiza wewe na Mmeo tu!!!
 
Acha kudanganya watu hapo Hormuz hakipiti kitu bila idhini ya Marekani!! Iran kafunga na Marekani imefunga zaidi mpaka kwenye Bandari zake!!!

Waarabu-koko endeleeni kudanganyana tu hapo Hormuz Iran hana chake kila kitu kimesimama hakuna biashara yoyote hapo!!
Sijachagua upande wowote ila tumain langu vita iishe na tuliambiwa haitachukua siku chache lakn Leo n nusu ya mwaka

Mbaya zaid nch mbili znaipiga nch Moja lakn bado mambo n mgumu

Kwa akil ndogo TU ya kuchambia mavi unadhan nan anapata AIBU hapa?
 
Mbona picha ya kambi ya jeshi na kiwanda cha kemikali Haifa hujaijumuisha?
 
Sijachagua upande wowote ila tumain langu vita iishe na tuliambiwa haitachukua siku chache lakn Leo n nusu ya mwaka

Mbaya zaid nch mbili znaipiga nch Moja lakn bado mambo n mgumu

Kwa akil ndogo TU ya kuchambia mavi unadhan nan anapata AIBU hapa?
Wadanganye wajinga wenzako kuwa hujachagua upande wakati upande uliishachagua siku nyingi!!!

Ulivyo mjinga unafikiri Iran anapigana peke yake!! Kama super power Russia kushindwa kupigana peke yake leo hii Utopolo Iran aweze?
 
Mbona picha ya kambi ya jeshi na kiwanda cha kemikali Haifa hujaijumuisha?
Safari hii Iran kaangukia Pua tena hakuna kombola lake lolote lil ile ya mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.

Tengenezeni tena picha za AI kuonyesha makombola ya Iran yamepiga Israel!!!!
 
Pichani ni kombora la Iran lililoanguka katika eneo la Judea kaskazini mwa Israel ambapo halikufanikiwa kulipuka

Makombora ya Iran pamoja na kufika anga la Israel ila mengi hushindwa kulipuka, kutokuwa na shabaha na mengi hushindwa kupenya mifumo ya ulinzi wa anga hususan Iron Dome

Hii ni ishara ya uwepo wa ushindani mkubwa wa teknolojia ya juu ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili,

Zaidi ya makombora yanayofikia 45% hushindwa kulipuka
View attachment 3603699View attachment 3603701
Kushindwa kulipuka ndio nini? Nachojua kombora mfano Khaibar shekhan likikaribia kushuka linaacha huo mwili na kubakia warhead (kile kichwa) hata zile cluster munitions ambazo Iran wamezitumia Israel ilikua hata ikiwa intercepted basi linalipua mabomu madogo madogo na vyuma (sharpnels) hata zaidi ya 300 kwa wakati mmoja. Kwahiyo labda useme yanakua intercepted angani ila kusema yanashindwa kulipuka ni misinformation kisa tu hayo mamikia ndio yanaonekana ardhini ni kutokujua namna balistic au hypersonic missiles zinafanya kazi.

image-2025-06-20t164834089_1750418273.png
 
Safari hii Iran kaangukia Pua tena hakuna kombola lake lolote lil ile ya mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.

Tengenezeni tena picha za AI kuonyesha makombola ya Iran yamepiga Israel!!!!
Kwani lini mmewahi kubali, ila baadae mnakuja kukiri zikitoka picha za satellite.
 
Safari hii Iran kaangukia Pua!!!

Kaangukia pua vip wkt Israel imepigika ndio mana Waisrael wametii makubaliano kusitisha Vita!

Ingekuwa Israel inaweza kukutwanga ww tu!!
unazani wangemsikia mtu!!!

Mbona pale GAZA wanaendelea kuuwa watu na kusini mwa Lebanon!!

Israel lazima wachapike kwanza ndio watakuelewa kwann wasitishe Vita.
 
Back
Top Bottom