Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 Jun 24, 2010 #1 sehemu kubwa ya makocha wa timu zilizofanya vibaya kwenye mashindano yanayoendelea nchini a.kusini watatimuliwa
sehemu kubwa ya makocha wa timu zilizofanya vibaya kwenye mashindano yanayoendelea nchini a.kusini watatimuliwa
Belo JF-Expert Member Jun 11, 2007 12,882 10,193 Jun 25, 2010 #3 Italy & France walishatangaza makocha wapya kabla hawajenda World Cup.Carlos Pereira,Otto Rehegal,Paul Le Guen wameamua kubwaga manyanga
Italy & France walishatangaza makocha wapya kabla hawajenda World Cup.Carlos Pereira,Otto Rehegal,Paul Le Guen wameamua kubwaga manyanga
senator JF-Expert Member Aug 9, 2007 1,924 66 Jun 25, 2010 #4 Sauzi wao mkataba na Pereila umekwisha so kocha wa Cameroon nae anatakiwa kuachia ngazi kwa timu yake kutia AIBU AFRICA Hta kupata kapoint kamoja !!
Sauzi wao mkataba na Pereila umekwisha so kocha wa Cameroon nae anatakiwa kuachia ngazi kwa timu yake kutia AIBU AFRICA Hta kupata kapoint kamoja !!