Makobazi ya Yesu wa Nazareth

Makobazi ya Yesu wa Nazareth

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,858
Reaction score
62,364
Makobazi, a.k.a Sandals ni vazi pendwa kwa wachamungu wengi, toka enzi za kale za manabii, vazi la miguuni la makobazi limekuwa ni mujarabu kabisa.

Uzuri wa kobazi hili ni kuwa ni vazi jepesi, vazi modest, lisilo na mbwembe, flexible kufanya Ibada.

Katika manabii waliokuwa wakipenda vazi hili ni Yesu wa Nazareth. Biblia inatufundisha haya katika agano jipya kitabu cha Mathayo na Marko.

Kitabu cha Mathew 3:11 kinasema:

11 “I baptize you with[a] water for repentance. But after me comes one who is more powerful than I, whose sandals I am not worthy to carry. He will baptize you with the Holy Spirit and fire.

Kwenye hili andiko Yohana anamuelezea Yesu wa Nazareth kuwa ni mtu ambaye Yeye Yohana hastahili hata kubeba Makobazi yake.

Nikiangalia mtandao wa Bible Gateway ya kiswahili naona pia wanatumia neno makobazi kwa wingi kumaanisha sandals.

Kwa hiyo nawashauri wale wote wanaotaka kufuata nyendo za manabii. Makobazi ni vazi zuri tulivae kama Yesu wa Nazareth alivyolivaa.
1745372675087.png
 
Nawasubiri wale wazee wa makobazi ni hivi na vile

Tukiwaambia hata uyo yesu mnompenda ndo vazi lake pendwa wanakataa hya ona sasa
Yesu kavaa kobazi na mimi navaa kobazi wewe unavaa mokasi mchongeko nani anampenda na kumfuata yesu kati ya mm na wewe?
 
Dah, nyie Waja Wa Mnyaazi Mungu mna tabu.!

Toka lini Yesu anafuatwa Kwa kuvaa 'Kobazi'....!

Kumfuata Yesu ni kufuata mafundisho yake tu...!

Alisema Mpende adui Yako...,

Lakini Nyie Mliambiwa jicho Kwa jicho,jino Kwa jino.
Sasa hapo hamuoni mnajichanganya kuendelea kumng'ang'ania Yesu wakati mafundisho yake hamyafuati?

Haya Sasa, Yesu hakuoa kabisa maishani mwake Mbona hamumfatishi, nyie mmejihalalishia mizigo isizidi minne..!
 
Nini kinafanya mhangaike na Bwana Yesu wetu.

Amejitosheleza hahitaji nyongeza.
 
Karne ya 21 na unataka tuishi kama watu wa Karne ya 1?

Hao walipanda punda, nasi tusipande magari?
 
Ujue wewe ni tahira kbs kwahiyo leo kuvaa makobaz ni ucha MUNGU? hv una akili timamu kweli wewe hv waislam huwa mna matatzo gn nyie, ndo yaleyale kuvaa kanzu eti ni uislam sasa kwa kfupi kanzu, hijabu, kobazi huo ni utamadun tu wa huko middle east kama masai na makobaz ya matairi au mashuka huo n utamadun wao na si kila anaye vaa kama wamasai bs naye ni mmasai wakristo wa iran, iraq, syria huvaa kanzu, wanawake huvaa mavaz marefu na kufunika kchwa na si waislam na si kielelezo cha ucha MUNGU bali ni utamaduni wa huko. usponielewa mpk hapa bs uhamishiwe milembe hspital.
 
Ujue wewe ni tahira kbs kwahiyo leo kuvaa makobaz ni ucha MUNGU? hv una akili timamu kweli wewe hv waislam huwa mna matatzo gn nyie, ndo yaleyale kuvaa kanzu eti ni uislam sasa kwa kfupi kanzu, hijabu, kobazi huo ni utamadun tu wa huko middle east kama masai na makobaz ya matairi au mashuka huo n utamadun wao na si kila anaye vaa kama wamasai bs naye ni mmasai wakristo wa iran, iraq, syria huvaa kanzu, wanawake huvaa mavaz marefu na kufunika kchwa na si waislam na si kielelezo cha ucha MUNGU bali ni utamaduni wa huko. usponielewa mpk hapa bs uhamishiwe milembe hspital.

Andiko linasema Yesu aliwaruhusu wanafunzi wake wavae makobazi. Umeelewa andiko?
 
Nawasubiri wale wazee wa makobazi ni hivi na vile

Tukiwaambia hata uyo yesu mnompenda ndo vazi lake pendwa wanakataa hya ona sasa
Yesu kavaa kobazi na mimi navaa kobazi wewe unavaa mokasi mchongeko nani anampenda na kumfuata yesu kati ya mm na wewe?
Wakati wa Yesu hakukua na dundo kalikali za nike, addidas wala Ye.

Hakukua na pamba kalikali zaidi ya hayo majoho.

Sasa hivi hata wavaa kobazi wenye hizo mila nao wananyuka kama wako New York city.
Si ajabu hata wewe hapo umekula airforce hapo chini unatembea ukinesanesa.
 
Wakati wa Yesu hakukua na dundo kalikali za nike, addidas wala Ye.

Hakukua na pamba kalikali zaidi ya hayo majoho.

Sasa hivi hata wavaa kobazi wenye hizo mila nao wananyuka kama wako New York city.
Si ajabu hata wewe hapo umekula airforce hapo chini unatembea ukinesanesa.
🤣🤣🤣🤣🤣 nesanesa
 
Makobazi, a.k.a Sandals ni vazi pendwa kwa wachamungu wengi, toka enzi za kale za manabii, vazi la miguuni la makobazi limekuwa ni mujarabu kabisa.

Uzuri wa kobazi hili ni kuwa ni vazi jepesi, vazi modest, lisilo na mbwembe, flexible kufanya Ibada.

Katika manabii waliokuwa wakipenda vazi hili ni Yesu wa Nazareth. Biblia inatufundisha haya katika agano jipya kitabu cha Mathayo na Marko.

Kitabu cha Mathew 3:11 kinasema:

11 “I baptize you with[a] water for repentance. But after me comes one who is more powerful than I, whose sandals I am not worthy to carry. He will baptize you with the Holy Spirit and fire.

Kwenye hili andiko Yohana anamuelezea Yesu wa Nazareth kuwa ni mtu ambaye Yeye Yohana hastahili hata kubeba Makobazi yake.

Nikiangalia mtandao wa Bible Gateway ya kiswahili naona pia wanatumia neno makobazi kwa wingi kumaanisha sandals.

Kwa hiyo nawashauri wale wote wanaotaka kufuata nyendo za manabii. Makobazi ni vazi zuri tulivae kama Yesu wa Nazareth alivyolivaa.
View attachment 3312714
Hawi muislamu mtu mpaka amuamini Yesu, waislamu ni watu wenye kufuata mwenendo na mafundisho ya Yesu kuliko baadhi ya wengi wenye kujinasibisha kuwa ni wafuasi wa Kristo.
 
kobazi pia ni convenient kwa wazee, maana linawodolea usumbufu wa kuinamainama kuvaa na kufunga viatu
 
Back
Top Bottom