Zamazangu
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 792
- 410
Za asbh wadau.
Naomba mnisaidie kuliweka sawa hili jambo kuhusu rasolimali zetu.
Mara baada ya kupitishwa sheria mpya jee
1. Yale makinikia ni yetu au yao?
2. Ile dhahabu inayosafishiwa machimboni kama north Mara Buzwagi na kwingineko inakuwaje.
3. Ile mikataba tuliyoambiwa ni ya kinyonyaji ishafumuliwa au mchakato wa kuifumua uko kwwnye sheria hz mpya.
Vinginevyo nitashukuru sana Kwa kunielimisha na kunisaidia
ili tuweze kushikiana kulindabrasilimali zetu . asante
Naomba mnisaidie kuliweka sawa hili jambo kuhusu rasolimali zetu.
Mara baada ya kupitishwa sheria mpya jee
1. Yale makinikia ni yetu au yao?
2. Ile dhahabu inayosafishiwa machimboni kama north Mara Buzwagi na kwingineko inakuwaje.
3. Ile mikataba tuliyoambiwa ni ya kinyonyaji ishafumuliwa au mchakato wa kuifumua uko kwwnye sheria hz mpya.
Vinginevyo nitashukuru sana Kwa kunielimisha na kunisaidia
ili tuweze kushikiana kulindabrasilimali zetu . asante