comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,822
- 6,565
Kampuni ya madini ya AVZ Minerals inajadiliana na Serikali ya Tanzania kuruhusiwa kupitisha Makinikia katika reli na bandari zetu. Hili ni jambo jema sana na la tija kwa nchi yetu.
Ila linashangaza sana kama tunakumbuka wakati wa mawasilisho ya Tume ya Prof. Mruma na Prof.Ossoro walibainisha nchi yetu kuwa na uwezo wa kushughulikia makinikia hapahapa Tanzania.
Sasa, ilitupate faida na kutengeneza ajira kwa ajili ya Watanzania, kwa nini tusiwashawishi AVZ Minerals kuchakatia makanikia yao hapa?
Ila linashangaza sana kama tunakumbuka wakati wa mawasilisho ya Tume ya Prof. Mruma na Prof.Ossoro walibainisha nchi yetu kuwa na uwezo wa kushughulikia makinikia hapahapa Tanzania.
Sasa, ilitupate faida na kutengeneza ajira kwa ajili ya Watanzania, kwa nini tusiwashawishi AVZ Minerals kuchakatia makanikia yao hapa?
AVZ Minerals in fruitful discussions for transport of Manono concentrate via Tanzania
AVZ Minerals Ltd (ASX:AVZ) has had positive engagement with Tanzanian Government agencies around the transport of concentrate from Roche Dure within Manono...
www.proactiveinvestors.com.au