Mtu anaitwa Makinda.Kinda ni toto hasa la ndege sasa Makinda ni mengi. Hivyo inaonesha kuwa Makinda huwa yanajifunza kula yenyewe pia na kuruka,tusimlaumu sana spika kwani yeye bado kinda na hajatambua anatakiwa kufanya nini anapo mwona kipanga.
BIN BOR Mtake radhi Sita, amekukosea nini mpaka unamtukana. Hivi kweli imefika mahala pa kumfananisha huyu mzee na Anna Makinda? Hata kama amekukosea kitu sidhani kama ulistahili kujichukulia sheria mikononi na kumtukana.
Mama Makinda namuonea huruma hili bunge si saizi yake maana benchmark iko very high foe her to reach.....aki jump anafikia 15%....she is even poor....performer
BIN BOR Mtake radhi Sita, amekukosea nini mpaka unamtukana. Hivi kweli imefika mahala pa kumfananisha huyu mzee na Anna Makinda? Hata kama amekukosea kitu sidhani kama ulistahili kujichukulia sheria mikononi na kumtukana.