Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
- Thread starter
- #61
Barabara zenyewe ziko wpi kuwa na misafara mia kidogo, wanawasumbua tu wananchi watumie helcopter
kula tano! Asubuhi na jioni inakuwa shida kweli mitaa ya Salenda na Ocean Road. Kila baada ya dakika chache ving'ora na traffic polisi wana panic hovyo hovyo