Safi sana Capt. Hata mimi kilaji changu ni Kinana moto. Mie huwa nakula Kinana Jr, yule wa TBL, wewe je?Tuulize kwanza usahihi wa habari hii kabla ya kuanza kujipongeza,naweza nikaanza kusaga kinana hapa halafu habari yenyewe ikaja kuwa kinyume,nani atanilipa fidia?
Mi nakula kinana senior!!napita kwanza Parma napiga spiced meat kilo moja,then naanza kutafuna tembo kama kinana vile.Safi sana Capt. Hata mimi kilaji changu ni Kinana moto. Mie huwa nakula Kinana Jr, yule wa TBL, wewe je?
Mi nakula kinana senior!!napita kwanza Parma napiga spiced meat kilo moja,then naanza kutafuna tembo kama kinana vile.