kibaizi kiki
Senior Member
- Dec 23, 2012
- 160
- 39
Najaribu kuwaza namna Filikunjombe atavyo cross na kuomba kusimama kwa tiketi ya chadema baada ya kuona viongozi wengi kwenye grassroots wanawakilisha chadema. Jimboni kwa bi mkora sijui kama chadema wamefika kwa kiasi gani kule manake katika wamama ninaowachukia anaweza kuwa anaongoza