Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
AKA's new video fires up internet
Azizzar Mosupi | 25 February, 2016 00:46
Make Me Sing is currently on rotation on both TV and radio all over South Africa and has been received well by fans. File photo
Image by: Tsheko Kabasia
The catchy Afro-beat tune and video was released on February 12, while the "SupaMega", as AKA is also known, was in Canada to perform at the Africa In The 6 event.
AKA, whose real name is Kiernan Forbes, 28, has also been nominated for the 2016 Metro FM Music Awards, which take place in Durban this weekend, for best hit single, best remix and best collaboration for his smash hit, Baddest, featuring Khuli Chana and Yanga.
Top hit-maker Diamond Platnumz, whose real name is Naseeb Abdul Juma, is no newbie to success either, having won 2015 MTV Europe awards in the international artist and best international act (Africa) categories.
Make Me Sing is currently on rotation on both TV and radio all over South Africa and has been received well by fans.
On Twitter @wambui_merly said: "Just repeat that [HASHTAG]#MakeMeSing[/HASHTAG] jam by Diamond and AKA (BAe), am already addicted to it."
Meanwhile, the song has taken a quirky twist in the [HASHTAG]#MakeMeSingDanceChallenge[/HASHTAG] currently taking place on social media.
Fans have been seen uploading 15-second videos in which they show off their dance moves to the song with the hashtag attached.
Raphael Benza, managing director and co-founder of AKA's management label, Vth Season, said: "The Diamond Platnumz and AKA combo are a force to be reckoned with for 2016."
Source: TimesLive SA
Lakini umeahashika namba moja, this uzoefu wako katika hilo nasi tujifunze.wimbo wa kawaida tu
cja kusoma em kuja tenaLakini umeahashika namba moja, this uzoefu wako katika hilo nasi tujifunze.
Mimi ni shabiki wa Diamond ila wimbo huu kwa upande wangu ni wa kawaida Sana, wimbo alioshiriki mwakahuu nikaupenda hadi sasa ni Zigo remix, hata Utanipenda ulikuwa wa kawaidaSwali ambalo hadi sasa sijapata jibu ni kwamba hawa wanaoiponda hii ngoma wanatumia vigezo gani hasa!!
Umesema wimbo wa kawaida, lakini tayari umeshashika namba moja. Niliomba utusaidie vigezo vya wimbo mkali, wimbo wa kawaida na wimbo mbaya ili nasi tufahamu tuweze kuwa rate watu.cja kusoma em kuja tena
pengine unataka tu ubishi kua kwenye chat South Africa cio kigezo cha kusema ni wimbo mzuri kwn kuna nyimbo ngap uku bongo zipo kwenye chat shows lkn SA hazijulikan huo wimbo wa kawaida tu narudia me napenda nyimbo za diamond lkn huu cja uckiliza ata mara 2 , lbda video kajitahid ila audio nopeUmesema wimbo wa kawaida, lakini tayari umeshashika namba moja. Niliomba utusaidie vigezo vya wimbo mkali, wimbo wa kawaida na wimbo mbaya ili nasi tufahamu tuweze kuwa rate watu.
Pili, je watu wa south siyo waelewa wa vitu vizuri mpaka goma linashika namba moja? Mkuu ni issue ya kutupatia elimu tu kama utakuwa haupo vizuri eneo hilo unaweza sema tu sijui. Ni hayo tu.
Mi huwa nachelea sana kulinganisha wimbo mmoja na mwingine hususani kwa mtu kama Diamond ambae he's no longer for a bongo flavor market. Kutokana na hilo huwa napenda kuupima wimbo kutokana na taste yake na mipaka yake... yaani kiwango cha ubongo flavor kilichomo ndani yake. Kila nikiusikiliza Make Me Sing as a stand alone track, sitakaa nikajifanya leo hii eti nimekuwa Nostradamus but naiona hii ngoma iki-hit sana nje ya mipaka yetu.Mimi ni shabiki wa Diamond ila wimbo huu kwa upande wangu ni wa kawaida Sana, wimbo alioshiriki mwakahuu nikaupenda hadi sasa ni Zigo remix, hata Utanipenda ulikuwa wa kawaida