Ubaguzi wa Trump haupo kwenye slogan yake, bali he is a racist, alikataa kuwakodishia nyumba watu weusi, na kampuni yake na baba yake walipelekwa mahakamani. Katika mashirika yake wafanyikazi weusi no wachache sana, na katika position za juu ndani ya managements yake watu weusi hawapewi nafasi. Ukiangalia mazungmzo yake ni ya kibaguzi.