Makazi ya wakuu wa mikoa

Makazi ya wakuu wa mikoa

Mtu Poa 2013

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
117
Reaction score
85
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
 
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Mbona wewe hujatupia Sasa?
 
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Hao ni miongoni mwa Watu wanyonyaji hapa Tanzania.
Nyerere Watu wa namna hiyo alikuwa anawaita 'Kupe.'
 
Ndio kazi ya kodi zenu, na mbaya zaidi kuna utitiri wa hao viongozi wa umma, wengi wao wana vyeo visivyo na tija yoyote.

Nakumbuka kuna mwaka private sector moja hivi ya kimataifa iliwekeza bongo, ikaajiri top management ya kihindi na wabongo. Wale viumbe waliunda vyeo vya juu vya ajabuajabu sana, yaani kulikua na watu kama 3 wao kazi yao ni kupasiana files tu.
 
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Huyo rc, Bado Ras, Bado DC, Bado das, Bado ded! Shenzi kabisa! Nyumba za kifahari, gari, marupurupu kibao ndio maana wanailinda ccm Kwa mtu wa bunduki!
 
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Wamelewa madaraka, jasho na damu za watanzania
 
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Ulitaka waishije? Kwenye nyumba za nyasi, tembe ama? Imagine wewe ndiye uwe mkuu wa mkoa, utakubali kuishi kwenye makazi uliyoyaandaa akilini mwako?
 
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.

Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Ulidanganyika na rangi tu.Ungekohoa hilo jumba lingeanguka.
 
Wa Tanzania wengi uelewa wa mambo bado hatuna tunaishi kwenye fikra za kale sana. Tuhitaji kuwa exposed na maisha ya sasa yalivyo na tutafute fursa za kujiendeleza kiuchumi na kifikra. Imagine mtu hapa anamsema RC/RAS/DC/DAS nyumba wanazoishi kisa yeye hana uwezo wa kujenga hiyo nyumba au inayokaribiana na hiyo kwa kigezo zimejengwa kwa kodi zetu. SMH!
 
Nyumba za wakuu wa mikoa au wakuu wa wilaya ni Ikulu ndogo,na inapotokea pia viongozi wakuu wa nchi wanapopita hayo maeneo kikazi na ikawalazimu kulala huwa wanatumia hizo nyumba kwahiyo zinatakiwa kuwa na hadhi inayokubalika,au ulitaka wakifika kule walale guest House mkuu...!
 
Nyumba za wakuu wa mikoa au wakuu wa wilaya ni Ikulu ndugu,na inapotokea pia wakua wa nchi wanapopita hayo maeneo kikazi na ikawalazimu kulala huwa wanatumia hizo nyumba,au ulitaka wakifika kule walale guest House mkuu...!
anaweza akalala rest house yaani ikulu ndogo au kwa RC PIA uko sahihi
 
Wa Tanzania wengi uelewa wa mambo bado hatuna tunaishi kwenye fikra za kale sana. Tuhitaji kuwa exposed na maisha ya sasa yalivyo na tutafute fursa za kujiendeleza kiuchumi na kifikra. Imagine mtu hapa anamsema RC/RAS/DC/DAS nyumba wanazoishi kisa yeye hana uwezo wa kujenga hiyo nyumba au inayokaribiana na hiyo kwa kigezo zimejengwa kwa kodi zetu. SMH!
Wewe ndjo hujui lolote.

Yaani Nyumba ya DC ni gharama kubwa sana huku Halmashauri haina Ofisi ya DC wala ya DED ziko kama mapagala ya kufugia kuku?

Sio kwa sababu mlalamikaji hana uwezo wa kujenga bali vipaumbele fyongo vya serikali.
 
Back
Top Bottom