crdb bank ilikuwaga na vibobo vya kuweka maoni, sijui ka bado vipo. Je management inawahamasishaje wateja kuvitumia visanduku hivi? Msiogope kuhabarishwa hata kama ni kulaumiwa.
Sijui ka humu jf huwa wanasoma lakini kumekuja manung'uniko mengi recently kuonesha kuwa kuna upungufu Dr. Kimei. Hili ni ombwe la uongozi, mgema ukimsifia, tembo hulitia maji.
Where else shall we run to? Ukiziweka home, majambazi, ukienda kuzichukua, risasi hapo hapo mlangoni sijui wanakonyezwa na hao hao ma teller. Huu mpango wa kuwaweka watu pale wanaketi kwenye viti wakingojea namba kuitwa nao, mhhhh sasa hao jaamaa si wanajikalia pale wakiangalia mfuko tunaoweka wanatufuata tu. Sijui, mi nawaza tu