Nimependa walichokifanya kwa sasa kiushabiki baada ya Timu ya Wananchi itakayofuata kwangu itakuwa ni KenGold.
Japo wanasikitisha points sita kibindoni kwa kucheza mechi 15 sio siri wana mlima mrefu kutoboa kubakia ligi kuu.
Itabidi kina Chirwa wapambane sana kupata matokeo.