Makapuku Forum

Aaaaaah huyu vipi tenaaa?
 
*Jinsi mzunguko wa Elimu ulivyo hapaTanzania*

01. Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02. Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03. Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04. Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05. Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
 
Ha ha ha huu mfumo kiboko
Full kutegemeana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…