Akii vile ππJamaniii sema kweli we mzee [emoji3059]
Kichwa tayari kina jambo, mdomo hautaki funguka π π€£ ππ€£π€£π€£π€£ Unataka kusemaje?
Haiwezekani auntieπ€£π€£π€£Hata sijuiii [emoji1787][emoji1787]
Aaah kemea uhalifu auntie π€£π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa me nifanyejeee na ni watu wazima haoooo
Sikuachiiiiiπ€£π€£π€£Ebu niacheeee mie [emoji1787]
Bora usifunguke hivyo hivyo!!Kichwa tayari kina jambo, mdomo hautaki funguka π π€£ π
π π€£ πBpra usifunguke hivyo hivyo!!
Baki naloπ€£π€£π€£
...ujue nini, katika wanaoniwazia mazuri na afya njema ni wewe, nimekuja mbio, ninahemea juu juu kama kapteni Komba (RIP) nikajua leo napona kumbe ndiyo kwanza umeniita nijipatie zawadi ya shinikizo la moyo kwenye ugonjwa wa moyo nilionao kwa kupenda.
...beach siku hizi wanakula mihogo na samaki, mimi siku hizi siendi tena huko maana mmoja kaja na sabuni na mwingine kavaa kijora.Hapa nikae pembeni, beach niangalie Bahari na wavuvi wakiwa wanarudi
...kikubwa anakumbuka kuichaji. Ukifichwa fichika na hakikisha aliyekuficha kafichamana pia maana usifichwe peke yakoNilifichwa Tanga, leo nimepewa simu kwa muda ili nisilimie ndugu na jamaa zangu kisha simu nayo itafichwa tenaπ€£π€£π€£
Aaah kemea uhalifu auntie [emoji1787][emoji1787]
...ujue nini, katika wanaoniwazia mazuri na afya njema ni wewe, nimekuja mbio, ninahemea juu juu kama kapteni Komba (RIP) nikajua leo napona kumbe ndiyo kwanza umeniita nijipatie zawadi ya shinikizo la moyo kwenye ugonjwa wa moyo nilionao kwa kupenda.
Ninamalizana na goli la mkono (mambo ya Nape) ili kuondoa stress. Asante kwa kuniitia matatizo, sisi sio milima
Hahahahaha...beach siku hizi wanakula mihogo na samaki, mimi siku hizi siendi tena huko maana mmoja kaja na sabuni na mwingine kavaa kijora.
Endelea kufaidi, nimekaa pale
Sasa shemeji kwani ulifichwa wapi?...ujue nini, katika wanaoniwazia mazuri na afya njema ni wewe, nimekuja mbio, ninahemea juu juu kama kapteni Komba (RIP) nikajua leo napona kumbe ndiyo kwanza umeniita nijipatie zawadi ya shinikizo la moyo kwenye ugonjwa wa moyo nilionao kwa kupenda.
Ninamalizana na goli la mkono (mambo ya Nape) ili kuondoa stress. Asante kwa kuniitia matatizo, sisi sio milima
Auntie ukoo lazima ulindwe bwana!! Hata angekuwa mbibi.Nakemeajeee na ni watu wazima haooo [emoji1787]