Makapuku Forum

Eti babe hivi unaanzajee uache tukiwa bar we hunywi unatununulia tunaokunywa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hee,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Mimi jomonii siwezi kuacha heineken easily hivyo,.hell nooo,.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ebu fungua nyimbo ikufariji hiyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tumeachana sijaachwaa mfyuuu
 
Eti babe hivi unaanzajee uache tukiwa bar we hunywi unatununulia tunaokunywa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂kwanza moyo huo sina chee,.niwanunulie bia,mkunywe,mlewe,muinjoi,mcheze mziki na kuimba kwa nguvu,mruke ruke,mgonge chiazz,muongee kiingereza,.afu mimi niwaangalie tuu tena nilipie..hapana jamanii "I want a beer" na Mimi woii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…