Makapuku Forum

View attachment 853500
Mkufunzi wa Arsenal Unai Emery amekana kwamba amekosana na kiungo wa kati wa Ujerumani Mesut Ozil, lakini anasema kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 anahitaji kucheza maeneo tofauti katika klabu hiyo.. (Guardian)
Kwa mfumo wa unai, ozil anahitajika kujituma zaidi, ni mfumo mgumu kwa wachezaji wavivu uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…