Makapuku Forum

Yaan mjue hii avatar ya baba d nikitaka kumjibu mtu najisahau namuona Baba D huyu hapa kuna najisahau kama I'd yangu nahisi labda nimehuck ya baba d
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata mie inanchanganya, wakat mwingine najua ni lee, mwanzon ndio kabisa nilikiwa najua ni lee, mpaka unapoandika maka, ndio najua ni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…