Richard Tambwe Hiza
Mapenzi kwa mke wako na watoto wako Classmate! Sio CDM Ndio maana Lowassa ujana wake kaulia CCM uzee Chadema! Kwani nini Kwa linchi likubwa kama Tanzania Monduli kuwa ya Chadema? Unaweka nusu kijiko cha sukari kwenye bahari?
..wacha kujifanya kipofu ww, ccm mna kitu gani chakuringia?! nyie mmekuja mbio mbio ooh sijui kina nani wameondoka chadema, nikawajibu hao walioondoka na walioingia monduli wapi wengi?! umeshindwa kujibu unarukia tz, anyway, sijui ni tz ipi unayoizungumzia km sio kujitia upofu tu.!
Tatizo hao mamia nia aina ya Lowasa - hawaji kwa mapenzi bali wanakuja kutafuta nafasi za kugombea. Hivi kwa akili yako unadhani Lowasa asingepishwa URAIS angekuwa na CHADEMA? Unakumbuka Saidi Mkumba alipoukosa ubunge yuko wapi sasa hivi? hao ndio mamia wenu mnaojivunia? Masikini CHADEMA yangu, Tulikupenda lakini Mafisadi wamekupenda zaidi.
..unajaribu kutumia reference za kijinga ku justify upuuzi ulioandika hapa. Mbona hujamzungumzia bulaya, vp na lembeli?!
Magamba endeleeni kujiliwaza tu ila mwaka huu sindano za ukawa lzm ziwatoboe mfupa.!
Walikuwa wapi? Wasijitoe kabla ya kampeni
Mabilion yapo kazini
Mkuu umesahau utamaduni wenu,nakukumbusha u edit tena uandike hivi,"waende zao hao ni wasaliti lumumba buku saba"...classmate wangu..mwingine bilioni 10, wote mna mawazo mfu! CDM ipo kwa ajili ya wote wenye mapenzi mema. Monduli imeshakua ya chadema nyie endeleeni kulia lia tu na hao wawili walioondoka,wkt tulishaona mamia wakihamia chadema.
Richard Tambwe Hiza
aligombea nn?
Wapinzani wamejipanga sana na nitishio kwa uhai wa ccm na ndio maana ccm wanawanunua baadhi ya waroho, Ccm mnafanya siasa ya hovyo ya kuwanunua/kuwahonga hela ili ionekane watu wanajitoa chadema, kumbe kwa shinikizo la pesa chafu, mdawti, shule, hospital, maji hamna, ninyi mnahonga mtu mmoja hela kibao na wakati huo bado kura atatpiga kwa Ukawa