lnx
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 387
- 294
Naomba kuuliza au kuelekezwa kuna vigezo gani hufuatwa ili makao makuu ya wilaya yaweze kujengwa mahala fulani?
Nimeuliza hilo sababu kuna sintofahamu wapi makao makuu ya Wilaya ya Kilombero yawekwe japo kwenye kikao cha madiwani walikubalina yawe Mngeta ambapo kimsingi ndiyo katikati ya wilaya hiyo tofauti na yanakotaka kupelekwa pembeni kabisa, lisaa limoja unaingia Wilaya ya Mikumi sijui kama mko sahihi.
Yaani ili ufike ofisi za Halmashauri ya Kilombero sharti upite katikati ya Halmashauri ya Mji Ifakara wakati sehemu kubwa imeachwa kwenda hadi mlimba huko na ndiyo ilikuwa imepangwa yawe mlimba leo mnayapeleka huko siginari kulikoni?
Nia ya raisi ni kusogeza huduma kwa watu leo mnataka mtu wa mlimba watembee masaa 6 au 7 na mvua zikinyesha ndiyo watasafiri siku nzima kufuata huduma wilayani hii imekaaje.
Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wako hapa inatakiwa mjitathimini hicho mnachotaka kukufanya hakina unafuu wala msaada wowote kwa raia wenu walioko masagati au mlimba kama lengo la Rais lilivyo.
Nimeuliza hilo sababu kuna sintofahamu wapi makao makuu ya Wilaya ya Kilombero yawekwe japo kwenye kikao cha madiwani walikubalina yawe Mngeta ambapo kimsingi ndiyo katikati ya wilaya hiyo tofauti na yanakotaka kupelekwa pembeni kabisa, lisaa limoja unaingia Wilaya ya Mikumi sijui kama mko sahihi.
Yaani ili ufike ofisi za Halmashauri ya Kilombero sharti upite katikati ya Halmashauri ya Mji Ifakara wakati sehemu kubwa imeachwa kwenda hadi mlimba huko na ndiyo ilikuwa imepangwa yawe mlimba leo mnayapeleka huko siginari kulikoni?
Nia ya raisi ni kusogeza huduma kwa watu leo mnataka mtu wa mlimba watembee masaa 6 au 7 na mvua zikinyesha ndiyo watasafiri siku nzima kufuata huduma wilayani hii imekaaje.
Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wako hapa inatakiwa mjitathimini hicho mnachotaka kukufanya hakina unafuu wala msaada wowote kwa raia wenu walioko masagati au mlimba kama lengo la Rais lilivyo.