Ukitaka kudili na Upigaji huwezi muacha Philipo Mpango, huyu alikuwa waziri wapesa hivyo anaujua upigaji wote wa awamu ya 5 na ni mnufaikaji mkubwa, tunapo sema tunapambana na Ufisadi mtu kama Philipo Mpanho na pia katibu mkuu Wizara ya Pesa enzi hizo bado wako kazini.
Watanzania tusipo kuwa serious na nchi yetu tutaumia sana na huenda watoto wetu wakaja kuishi maisha magumu sana huku watoto wa Wapigaji wa sasa wakiwa tena ndo viongozi wao, angalia kwa sasa mtu kama Ridhiwan, yule Kijana wa Pinda hawa ni wanufaikaji wa ufisadi awamu zilizo pita na ndo hao wanatuongoza sasa na huenda watoto wa Ridhiwani wakaja kuongoza watoto wetu sisi tupo tu tuna chekacheka