Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi awasili Mtwara

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi awasili Mtwara

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
291
Reaction score
219
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara, ili kuelekea mkoani Lindi, leo tarehe 18 Machi 2026.

Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Kampeni ya Upandaji Miti Kitaifa, itakayofanyika mkoani Lindi, kesho tarehe 19 Machi 2026.

IMG-20260318-WA0166.jpg
IMG-20260318-WA0176.jpg
IMG-20260318-WA0175.jpg
IMG-20260318-WA0172.jpg
IMG-20260318-WA0169.jpg
 

Attachments

  • IMG-20260318-WA0174.jpg
    IMG-20260318-WA0174.jpg
    863.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom