GE2025 Makamu wa Rais asisitiza jeshi la polisi kushirikiana na TAKUKURU kudhibiti vitendo vya rushwa uchaguzi mkuu

GE2025 Makamu wa Rais asisitiza jeshi la polisi kushirikiana na TAKUKURU kudhibiti vitendo vya rushwa uchaguzi mkuu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango amelitaka jeshi la polisi kushirikiana na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ili kupambana dhidi ya vitendo vya rushwa wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

Dkt.Mpango ametoa kauli hiyo leo Agosti 11, 2025 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wakati akifungua mkutano wa maafisa waandamizi wa jeshi la polisi nchini uliofanyika katika ukumbi wa shule ya polisi Moshi. Amesema wananchi wanatakiwa kuchagua viongozi kwa kuzingatia ilani za vyama vya siasa pamoja na uwezo halisi wa wagombea, kwani viongozi wanaopatikana kwa vitendo vya rushwa huathiri maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.



 
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango amelitaka jeshi la polisi kushirikiana na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ili kupambana dhidi ya vitendo vya rushwa wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

Dkt.Mpango ametoa kauli hiyo leo Agosti 11, 2025 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wakati akifungua mkutano wa maafisa waandamizi wa jeshi la polisi nchini uliofanyika katika ukumbi wa shule ya polisi Moshi. Amesema wananchi wanatakiwa kuchagua viongozi kwa kuzingatia ilani za vyama vya siasa pamoja na uwezo halisi wa wagombea, kwani viongozi wanaopatikana kwa vitendo vya rushwa huathiri maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.
View attachment 3438433
Mzee Mpango unajichosha tu, kama CCM waligawa rushwa kiasi kill kwenye kura za maoni na hakuna aliyeshikwa,

Hivi Hawa Takukuru wanaishi huku mtaani wasiyaone yote hayo, Kuna traffic wanakula rushwa hadharani, kama huamini jaribu kuendesha kirikuu ndio utajua
 
Je vipi wagombea wa CCM ambao wameongoza kura za maoni kwa kutoa rushwa??
 
H
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango amelitaka jeshi la polisi kushirikiana na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ili kupambana dhidi ya vitendo vya rushwa wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

Dkt.Mpango ametoa kauli hiyo leo Agosti 11, 2025 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wakati akifungua mkutano wa maafisa waandamizi wa jeshi la polisi nchini uliofanyika katika ukumbi wa shule ya polisi Moshi. Amesema wananchi wanatakiwa kuchagua viongozi kwa kuzingatia ilani za vyama vya siasa pamoja na uwezo halisi wa wagombea, kwani viongozi wanaopatikana kwa vitendo vya rushwa huathiri maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.

ilo ni jukumu lao, wanalijua, Malengo ya kuanzishwa TAKUKURU hayajayimia, TAKUKURU yenyewe Member wake wana njaa hatari,wakawekwa mpaka wakurugenzi POLOSI, JW wote wakala mzigo kupiga pesa kama kawa!!!
 
Back
Top Bottom