PreGE2025 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar: Ni aibu mwanamke kuteswa chini ya utawala wa Rais mwanamke

PreGE2025 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar: Ni aibu mwanamke kuteswa chini ya utawala wa Rais mwanamke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
980
Reaction score
3,646
Mwenyekiti wa @ACTwazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ndugu Othman Masoud Othman (OMO) amesema kuwa

“Kama tunataka mageuzi katika nchi hii hatuwezi kukaa kitako tukafunga mikono tukasema kwamba mageuzi yatakuja, hawako huko watu kwenda Mahakamani tu kwenda kusikiliza kesi mmesikia ndio CCM hiyo, leo jambo la kawaida lakini limefanywa jinai na baada ya kutumia hizo njia za jinai na sheria za nchi yetu mpaka imeiondolea heshima nchi yetu, hakukua na sababu ya kumchukua mtu kwenda kumtesa, kwenda kumdhalilisha mwanamke!

Nchi hii inaongozwa na mwanamke, mwanamke anavuliwa nguo, anadhalilishwa chini ya utawala wa Rais Mwanamke ni aibu, ni fedheha kwa sababu sio sheria za nchi yetu, sio utaratibu, sio ustaarabu wa kiulimwengu”
 
Ndugu Rais, chama chako kimeridhia kuingia katika uchaguzi wa October 25 ambao kwa mfumo wake huwa ni feki na utatupelekea kuzaa viongozi ambao si chaguo la wananchi . Sasa huoni kwamba wewe na chama chako mnasaliti vita hiii ya kudai mabadikiko ya mfumo wetu wa uchaguzi nchini?
 
Kuna muda ukiwafuatilia sana wanasiasa unapata hasira sana, ila yanamwisho
 
Mwenyekiti wa @ACTwazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ndugu Othman Masoud Othman (OMO) amesema kuwa

“Kama tunataka mageuzi katika nchi hii hatuwezi kukaa kitako tukafunga mikono tukasema kwamba mageuzi yatakuja, hawako huko watu kwenda Mahakamani tu kwenda kusikiliza kesi mmesikia ndio CCM hiyo, leo jambo la kawaida lakini limefanywa jinai na baada ya kutumia hizo njia za jinai na sheria za nchi yetu mpaka imeiondolea heshima nchi yetu, hakukua na sababu ya kumchukua mtu kwenda kumtesa, kwenda kumdhalilisha mwanamke!

Nchi hii inaongozwa na mwanamke, mwanamke anavuliwa nguo, anadhalilishwa chini ya utawala wa Rais Mwanamke ni aibu, ni fedheha kwa sababu sio sheria za nchi yetu, sio utaratibu, sio ustaarabu wa kiulimwengu”
Ni aibu sana
 
Mwenyekiti wa @ACTwazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ndugu Othman Masoud Othman (OMO) amesema kuwa

“Kama tunataka mageuzi katika nchi hii hatuwezi kukaa kitako tukafunga mikono tukasema kwamba mageuzi yatakuja, hawako huko watu kwenda Mahakamani tu kwenda kusikiliza kesi mmesikia ndio CCM hiyo, leo jambo la kawaida lakini limefanywa jinai na baada ya kutumia hizo njia za jinai na sheria za nchi yetu mpaka imeiondolea heshima nchi yetu, hakukua na sababu ya kumchukua mtu kwenda kumtesa, kwenda kumdhalilisha mwanamke!

Nchi hii inaongozwa na mwanamke, mwanamke anavuliwa nguo, anadhalilishwa chini ya utawala wa Rais Mwanamke ni aibu, ni fedheha kwa sababu sio sheria za nchi yetu, sio utaratibu, sio ustaarabu wa kiulimwengu”
Kwa vile mdude siyo mwanamke basi sawa akifanyiwa anayofanyiwa. Nchi hii ngumu Sana.
 
Wanawake ni changamoto,angalia na mipasho huku bungeni.

Ni wanawake ndiyo wanashabikia huo udhalilishaji ambao mwanamke mwenzao amefanyiwa.
 
Kuna muda ukiwafuatilia sana wanasiasa unapata hasira sana, ila yanamwisho
Jamaa wanatuchora tu, hivi ACT wangekuwa serious wangetangaza kuingia kwenye uchaguzi kwenye mazingara kama haya ya sasa?
 
Kuna Uzi nimeona wa Steven joel ntamisano ukitetea wanausalama!!

Mimi nadhani kama Bado tuna wanausalama wanaodhalilisha watu hivyo basi tuna tatizo kama taifa!!

Mi naamini katika safe process kwanza wangewakagua kama Wana viashiria vya uvunjifuu halafu waachwe waende kwa mahakama bila kipingamizi !kama walibeba mapesa wangeyachukua na kuayingiza kwenye to mzunguko TU kiaina halafu kesi imeisha!!au wangewapa ma bodyguard walindwe muda wote Hadi watakapoondoka waende kwa amani!!

Bado Tuna pupa sana na sarakasi nyingi ambazo hazikuzi uchumi,wangekaa hotelini wangelipa bills na kuongeza mzunguko wa fedha ,sisi tumezuia uchumi na mzunguko wake!!
 
Back
Top Bottom