PreGE2025 Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira: CCM haina chuki wala visasi, inaamini katika maridhiano

PreGE2025 Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira: CCM haina chuki wala visasi, inaamini katika maridhiano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.


Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

 
Mbona anawapa story za kizee, ina maana hao watu hawaelewi tatizo liko wapi?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.


Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

Comrade Stephen Wasira anapasua mbarika za maana mno kwa waTanzania,

well done the muzee 💪👊🐒
 
Wababu woote waheshma wamewaachia vijana kazi wao hushauri na kucheza na wajukuu.
Ukikuta Babu anatukanana na vijana kisa kutafuta tonge basi hajajitambua nahuyo ni wakuhurumiwa😔😔😔
Babu mpenda kupigania atulie nyumbani atengeneze na Mungu wake asiichochee dhulma,wizi na chuki katika umri huo.
Tunaomba Ester Bulaya amsaidie hekima huyu Babu inaonesha hasikilizi hata watoto wake!
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.

Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

Kuna kijana (RIP) alisema kuwa sauti pekee inayoweza kulikilizwa na CCM na kuwasitua kidogo, ni sauti kama za M23! viginevyo mnajisumbua bure.
 

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.

“Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

Alisisitiza CCM haina visasi na mtu, lakini atakayekosea hukamatwa na polisi kwa kuwa wamesomeshwa kukamata, vilevile wamesomeshwa kusema kosa hili ni kosa, "sio kila anayekamatwa huwa polisi wametumwa, sio kweli."

Awali mfuasi wa Chadema wilayani Urambo, Shabani Warioba alitoa ombi kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Wasira akidai amemsikia Mwenyekiti wa chama chake cha CHADEMA yuko ndani, hivyo anataka kujua amefanya kosa gani na kama amefanya kosa anaiomba serikali ya Chama Cha Mapinduzi imsamehe hata kama ana makosa.
 
WASIRA: CCM HAINA CHUKI, VISASI BALI INAAMINI KATIKA MARIDHIANO

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.

“Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

Alisisitiza CCM haina visasi na mtu, lakini atakayekosea hukamatwa na polisi kwa kuwa wamesomeshwa kukamata, vilevile wamesomeshwa kusema kosa hili ni kosa, "sio kila anayekamatwa huwa polisi wametumwa, sio kweli."

Awali mfuasi wa Chadema wilayani Urambo, Shabani Warioba alitoa ombi kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Wasira akidai amemsikia Mwenyekiti wa chama chake cha CHADEMA yuko ndani, hivyo anataka kujua amefanya kosa gani na kama amefanya kosa anaiomba serikali ya Chama Cha Mapinduzi imsamehe hata kama ana makosa.

 
WASIRA: CCM HAINA CHUKI, VISASI BALI INAAMINI KATIKA MARIDHIANO

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.

“Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

Alisisitiza CCM haina visasi na mtu, lakini atakayekosea hukamatwa na polisi kwa kuwa wamesomeshwa kukamata, vilevile wamesomeshwa kusema kosa hili ni kosa, "sio kila anayekamatwa huwa polisi wametumwa, sio kweli."

Awali mfuasi wa Chadema wilayani Urambo, Shabani Warioba alitoa ombi kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Wasira akidai amemsikia Mwenyekiti wa chama chake cha CHADEMA yuko ndani, hivyo anataka kujua amefanya kosa gani na kama amefanya kosa anaiomba serikali ya Chama Cha Mapinduzi imsamehe hata kama ana makosa.

== ==
Maridhiano ambayo yanafaidisha wao tu
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano.

Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuzungumza na viongozi wa CCM na kusikiliza kero za wananchi.

Alisema CCM inaamini katika maridhiano ambayo pia ni sera ya serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndio maana hata Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipokuwa amekimbia nchi, maridhiano ndiyo yalimrudisha nchini.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

“Yule bwana mwenye kuuliza na wengine mliokuwa mnamsikiliza niwasaidie tu kuwaelimisha kwamba mkiwa na sera ya maridhiano haiwi mbadala wa sheria na wala huwezi kusema kwa sababu wewe ni mwenyekiti basi upo juu ya sheria.


Wote tuko chini ya sheria hata mimi nikiamka sasa hivi nikakupiga kofi, Jeshi la Polisi watanikamata hawawezi kusema wewe ni Makamu Mwenyekiti wa CCM maana umakamu haunipi uhuru wa kupiga watu makofi halafu nikaondoka salama.

Mzee wetu Wasira kwa Heshima na taadhima kutoka moyoni haya sio Demokrasia. Hebu achana na kungangania wako vijana wengi sana ndani ya chama na hata nje wanaweza kufanya hii kazi pumzika ukawa mshauri japo na ushauri wako ni wa generation ya 1940 haijengi hili Taifa na mteuaji hebu tafakari pia.
 
Back
Top Bottom