Ndio maana waziri amewaka Kweli Leo.. Nadhani ujumbe umefikaKuna mtu alileta uzi alisema hatapanda tena hizo ndege, Akisema waliambiwa ndege haiwez kutua arusha so wajigharamie gharama zao kwenda KIA alaf kufika kia wakawekwa 3hours kusibir crappy board members...
Kifupi hizi ndege hazina mwisho mzuri.....
Mabati yaleKuna mtu alileta uzi alisema hatapanda tena hizo ndege, Akisema waliambiwa ndege haiwez kutua arusha so wajigharamie gharama zao kwenda KIA alaf kufika kia wakawekwa 3hours kusibir crappy board members...
Kifupi hizi ndege hazina mwisho mzuri.....
Unajua saa nyingine mtu ni afadhali utoe pesa nyingi ila upate usafiri reliable, usafiri wa wakati, Usafir ambao wanakujali mteja, ...Ndio maana waziri amewaka Kweli Leo.. Nadhani ujumbe umefika
Arusha walikua wanapita na hiace wanatangaza maeneo ya ngarenaro kuhimiza watu wapande hayo madege kipindi yameingia. Pathetic. Ngarnaa??Amuagiza mkurugenzi kubadilisha safu yake mara moja..
Aonya watu waache upigaji wawe waadilifu
Marketing Department yakosolewa
Asema wafanyakazi wa serikali watumie ATCL kusafiri... Posta na TTCL zijiandae!
My take..
Kwakweli marketing department ya ATCL ni mbovu sana!! Namuunga Mkono.. Nenda twitter account yao au hata website yao.. Dah inasikitisha
Chanzo. TBC 1
Si ndio wake za .... wetuKuna mtu alileta uzi alisema hatapanda tena hizo ndege, Akisema waliambiwa ndege haiwez kutua arusha so wajigharamie gharama zao kwenda KIA alaf kufika kia wakawekwa 3hours kusibir crappy board members...
Kifupi hizi ndege hazina mwisho mzuri.....
Au hata kuboresha huduma za elimu hususani madawatidah mi hiyo pesa ya ndege wangeipeleka kwa reli naona tungepata faida mara dufu tofaut na hy ndege maana hatuna hata kipato cha kupanda hzo ndege bali tungewachia sekta binafsi kujihusisha huko tu..sisi mwend wa kodi tuu
Kuna mtu alileta uzi alisema hatapanda tena hizo ndege, Akisema waliambiwa ndege haiwez kutua arusha so wajigharamie gharama zao kwenda KIA alaf kufika kia wakawekwa 3hours kusibir crappy board members...
Kifupi hizi ndege hazina mwisho mzuri.....
Kazi si wameanza juzi tu baada ya kujipatia Bombadier.Amuagiza mkurugenzi kubadilisha safu yake mara moja..
Aonya watu waache upigaji wawe waadilifu
Marketing Department yakosolewa
Asema wafanyakazi wa serikali watumie ATCL kusafiri... Posta na TTCL zijiandae!
My take..
Kwakweli marketing department ya ATCL ni mbovu sana!! Namuunga Mkono.. Nenda twitter account yao au hata website yao.. Dah inasikitisha
Chanzo. TBC 1
Kwa hiyo mkuu unamaanisha body mpya ila chasis na engine ni zile zile mbovu[emoji3] [emoji3] [emoji3]False start at ATCL; Ni bora hizo nyingine zilizoagizwa wangesubiri kidogo ili ATCL ijipange vizuri zaidi kiutendaji kwani ATCL ilishakufa zamani sana kwa hiyo hata watendaji wake wengi ni Obsolete kabisa, hawajui kinachoendelea kwenye Airline industry; wameshaota kutu wanasubiri kukatika kama chuma chakavu!
Hapana ndugu ukiona hivyo ujue hali imeshaanza kwenda mrama, So wanawahi mapema kurekebisha kabla hali haijafika mrama kwenyewe.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Kazi si wameanza juzi tu baada ya kujipatia Bombadier.
Hivi utamaduni wa kukosoana barabarani unatija kweli zaidi ya kujitafutia kiki ya bei poa?
Shukrani sana jfKuna mtu alileta uzi alisema hatapanda tena hizo ndege, Akisema waliambiwa ndege haiwez kutua arusha so wajigharamie gharama zao kwenda KIA alaf kufika kia wakawekwa 3hours kusibir crappy board members...
Kifupi hizi ndege hazina mwisho mzuri.....
tatizo twiga hahahaha!!!!!!!Ndio maana waziri amewaka Kweli Leo.. Nadhani ujumbe umefika